Mtaka kwenda kuwa RC Njombe ni kumpunguza spidi?

Mtaka kwenda kuwa RC Njombe ni kumpunguza spidi?

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
Mwanasiasa mteuliwa kwa kawaida hana kauli kwa sehemu ya kutumikia.

RC Mtaka nimekuwa namfuatilia toka akiwa Sumiyu. Ni kijana anatumia utu na akili katika maamuzi yake.

Miaka ya Mwendazake wakati ma RC wengine wakishindana kuwaweka ndani viongozi wenzao wa ngazi za chini, yeye alikiri kukataa dhambi hiyo isiyo na utu.

Pale Dodoma amejitahidi kufanya vizuri hasa katika elimu ya wananchi vijijini na utawala bora kwenye manispaa tofauti.

Hata hivi majuzi kuonyesha umma kuwa kati ya waendesha bodaboda kuna graduates, that was a master stroke.
Pengine kosa lililowakera wenzake ni kumsema kiongozi mwenziwe juu ya elimu ya watoto wadogo, lakini alisema kweli. He is straight foward, thoughtful na hakuna kumung'unya maneno this young politician.

Ana future nzuri kisiasa, ila kwenda Njombe pengine ni kumpunguza spidi kwa wanaoona kijana anakuja vibaya!
Asikate tamaa, apige kazi, kazi iendelee!
 
sasa ulitaka Njombe aende nani?

After mtaka hata kama ni CCM bado ni chawa tu kashikwa akili.
 
Mwanasiasa mteuliwa kwa kawaida hana kauli kwa sehemu ya kutumikia.

RC Mtaka nimekuwa namfuatilia toka akiwa Sumiyu.
Ni kijana anatumia utu na akili katika maamuzi yake.

Miaka ya Mwendazake wakati ma RC wengine wakishindana kuwaweka ndani viongozi wenzao wa ngazi za chini, yeye alikiri kukataa dhambi hiyo isiyo na utu.
Pale Dodoma amejitahidi kufanya vizuri hasa katika elimu ya wananchi vijijini na utawala bora kwenye manispaa tofauti.
Hata hivi majuzi kuonyesha umma kuwa kati ya waendesha bodaboda kuna graduates, that was a master stroke.
Pengine kosa lililowakera wenzake ni kumsema kiongozi mwenziwe juu ya elimu ya watoto wadogo, lakini alisema kweli.
He is straight foward, thoughtful na hakuna kumung'unya maneno this young politician.

Ana future nzuri kisiasa, ila kwenda Njombe pengine ni kumpunguza spidi kwa wanaoona kijana anakuja vibaya!
Asikate tamaa, apige kazi, kazi iendelee!
Spidi ya nini? Njombe ni Mkoa ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. #Tufanye kazi tuache maneno mengi.🙏🙏🙏
 
Chama gani?
Utamu wake umeisha,alitumika tu,
Hata uvccm wapo vijana kibao wanataka hicho cheo,sasa hv tutaona atasubili mpaka uchaguzi akagombee ccm?!
Hapati kitu,maana Wana ccm wanamuona kama "outsider"sasa hv aende ACT,au akafanye ujasiliamali
 
Mwanasiasa mteuliwa kwa kawaida hana kauli kwa sehemu ya kutumikia.

RC Mtaka nimekuwa namfuatilia toka akiwa Sumiyu.
Ni kijana anatumia utu na akili katika maamuzi yake.

Miaka ya Mwendazake wakati ma RC wengine wakishindana kuwaweka ndani viongozi wenzao wa ngazi za chini, yeye alikiri kukataa dhambi hiyo isiyo na utu.
Pale Dodoma amejitahidi kufanya vizuri hasa katika elimu ya wananchi vijijini na utawala bora kwenye manispaa tofauti.
Hata hivi majuzi kuonyesha umma kuwa kati ya waendesha bodaboda kuna graduates, that was a master stroke.
Pengine kosa lililowakera wenzake ni kumsema kiongozi mwenziwe juu ya elimu ya watoto wadogo, lakini alisema kweli.
He is straight foward, thoughtful na hakuna kumung'unya maneno this young politician.

Ana future nzuri kisiasa, ila kwenda Njombe pengine ni kumpunguza spidi kwa wanaoona kijana anakuja vibaya!
Asikate tamaa, apige kazi, kazi iendelee!
Mtaka yupo vizuri!
Future ya dodoma ilimuhitaji sana,
Miradi mingi ya kimkakati ingeenda vizuri, tatizo siasa zetu ni ngumu sana.
 
Back
Top Bottom