Mtaka kwenda kuwa RC Njombe ni kumpunguza spidi?

Mtaka kwenda kuwa RC Njombe ni kumpunguza spidi?

Inasikitisha sana!

Mwenyezi Mungu ampe kustahamili mtihani @ Ndugu Antony Mtaka.
 
Mwanasiasa mteuliwa kwa kawaida hana kauli kwa sehemu ya kutumikia.

RC Mtaka nimekuwa namfuatilia toka akiwa Sumiyu.
Ni kijana anatumia utu na akili katika maamuzi yake...
Ninamtakia mema.

Huko walikomfukia ATACHIPUA UPYA na kuwa mti mkubwa wenye matunda na kivuli kwa wengi.
 
Mwanasiasa mteuliwa kwa kawaida hana kauli kwa sehemu ya kutumikia.

RC Mtaka nimekuwa namfuatilia toka akiwa Sumiyu...
Njombe ni mkoa mzuri sana kwa mtendaji mwenye weledi kama Mh. Mtaka.

Njombe ni mkoa wenye rasilimali nyingi ikiwa ni pamoja na misitu na ardhi nzuri ya kilimo na ufugaji wa ng'ombe wa maziwa.

Njombe ni moja ya mikoa inayozalisha kwa wingi chakula. Hata hivyo ni miongoni mwa mikoa yenye udumavu wa watoto kwa kukosa lishe bora.

Mtaka ameonesha utendaji wenye tija kwenye Wilaya na Mikoa yote aliyokwisha fanya kazi na hivyo kuwaachia wanao kuja kuiga na kufanya vema zaidi.

Nadhani Njombe kwa sasa ilikuwa inahitaji mtu kama Mh. Mtaka ili akanyooshe mambo ya msingi hususan elimu, afya na uchumi wa mkoa unaodorora licha ya fursa tele zilizopo.

Mh. Mtaka "akaimarishe" afya za watoto na kuondokana na udumavu licha ya uwepo wa maziwa na asali ya kutosha hapo Njombe.

Hongera Mh. Rais kwa kumteua Mtaka kuwa Mkuu wa Mkoa wa Njombe.

Hii sio kupunguzwa spidi kwa Mtaka bali fursa ya yeye kuonesha matokeo chanya kwenye sehemu ambayo wengi wameshindwa kufanya hivyo.

Mh. Mtaka anaweza kuyafanya hayo.

Hongera Mh. Rais; Hongera Mh. Mtaka.
 
Kwa speed ya maendeleo yaliyopo Sasa mkoa wa njombe mtaka ndo mtu sahihi kabisa kwenda mkoa njombe ili akaibue fursa nyingine zaidi maana mkoa una rasilimali za kutosha na kwa Sasa ndo mkoa unaofanya vizuri hata kwenye makusanyo ya mapato kwa mikoa ya tz Yana mtaka kwa njombe atangara Sana jamii ya mkoa wa njombe Ni waelewa na wanapenda maendeleo mkoa wa njombe una miaka kumi tu lakini kimaendeleo umeizidi mikoa mingi tz njombe huyu Ni mtu sahihi was kuisemea ili watu muielewe njombe kuwa Ni mkoa wa kimkakati


FB_IMG_16419032754961153.jpg
FB_IMG_16206610734920914.jpg
FB_IMG_16563536615523395.jpg
FB_IMG_16563952724271575.jpg
FB_IMG_16563541293270298.jpg
FB_IMG_16563536380685553.jpg
A-map-showing-the-study-districts-and-their-respective-wards-in-Njombe-region-Tanzania~2.jpg
 
Dodoma naona palimfaa lakini kwa sababu za kisiasa na za kutisha baadhi ya vijana wenzie asijenge brand ikawa kubwa sana na kwa uwezo alionao hakika anahitajika aende njombe akachochee maendeleo zaidi.
 
Njombe ni mkoa mzuri sana kwa mtendaji mwenye weledi kama Mh. Mtaka.

Njombe ni mkoa wenye rasilimali nyingi ikiwa ni pamoja na misitu na ardhi nzuri ya kilimo na ufugaji wa ng'ombe wa maziwa.

Njombe ni moja ya mikoa inayozalisha kwa wingi chakula. Hata hivyo ni miongoni mwa mikoa yenye udumavu wa watoto kwa kukosa lishe bora.

Mtaka ameonesha utendaji wenye tija kwenye Wilaya na Mikoa yote aliyokwisha fanya kazi na hivyo kuwaachia wanao kuja kuiga na kufanya vema zaidi.

Nadhani Njombe kwa sasa ilikuwa inahitaji mtu kama Mh. Mtaka ili akanyooshe mambo ya msingi hususan elimu, afya na uchumi wa mkoa unaodorora licha ya fursa tele zilizopo.

Mh. Mtaka "akaimarishe" afya za watoto na kuondokana na udumavu licha ya uwepo wa maziwa na asali ya kutosha hapo Njombe.

Hongera Mh. Rais kwa kumteua Mtaka kuwa Mkuu wa Mkoa wa Njombe.

Hii sio kupunguzwa spidi kwa Mtaka bali fursa ya yeye kuonesha matokeo chanya kwenye sehemu ambayo wengi wameshindwa kufanya hivyo.

Mh. Mtaka anaweza kuyafanya hayo.

Hongera Mh. Rais; Hongera Mh. Mtaka.
Mtaka ni Motivational speaker tu ukichunguzq kiuhalisia hamna kitu anafanya.
 
Mwanasiasa mteuliwa kwa kawaida hana kauli kwa sehemu ya kutumikia.

RC Mtaka nimekuwa namfuatilia toka akiwa Sumiyu.
Ni kijana anatumia utu na akili katika maamuzi yake.

Miaka ya Mwendazake wakati ma RC wengine wakishindana kuwaweka ndani viongozi wenzao wa ngazi za chini, yeye alikiri kukataa dhambi hiyo isiyo na utu.
Pale Dodoma amejitahidi kufanya vizuri hasa katika elimu ya wananchi vijijini na utawala bora kwenye manispaa tofauti.
Hata hivi majuzi kuonyesha umma kuwa kati ya waendesha bodaboda kuna graduates, that was a master stroke.
Pengine kosa lililowakera wenzake ni kumsema kiongozi mwenziwe juu ya elimu ya watoto wadogo, lakini alisema kweli.
He is straight foward, thoughtful na hakuna kumung'unya maneno this young politician.

Ana future nzuri kisiasa, ila kwenda Njombe pengine ni kumpunguza spidi kwa wanaoona kijana anakuja vibaya!
Asikate tamaa, apige kazi, kazi iendelee!
Ila ni kweli kabisa
 
Mtaka ni Motivational speaker tu ukichunguzq kiuhalisia hamna kitu anafanya.



Sisi wananchi ndio tunamuelewa zaidi maaana yeye ni mtumishi wetu.

Mnataka mtu ambae yupo yupo ambae kazi yake ni uchawa kusifu na kuabudu tu watu ?!

Na jamaa inabidi aanze kumsihi Mungu azidi kumlinda na kujilinda asijeakaaekewa thumu kama anko Maguu.

Mtaka ana kitu kisicho cha kawaida na watesi huwa wanakiona mapema.

Kaa chonjo A. Mtaka

Maana si kwa chuki kiasi hicho!
 
Mwanasiasa mteuliwa kwa kawaida hana kauli kwa sehemu ya kutumikia.

RC Mtaka nimekuwa namfuatilia toka akiwa Sumiyu. Ni kijana anatumia utu na akili katika maamuzi yake.

Miaka ya Mwendazake wakati ma RC wengine wakishindana kuwaweka ndani viongozi wenzao wa ngazi za chini, yeye alikiri kukataa dhambi hiyo isiyo na utu.

Pale Dodoma amejitahidi kufanya vizuri hasa katika elimu ya wananchi vijijini na utawala bora kwenye manispaa tofauti.

Hata hivi majuzi kuonyesha umma kuwa kati ya waendesha bodaboda kuna graduates, that was a master stroke.
Pengine kosa lililowakera wenzake ni kumsema kiongozi mwenziwe juu ya elimu ya watoto wadogo, lakini alisema kweli. He is straight foward, thoughtful na hakuna kumung'unya maneno this young politician.

Ana future nzuri kisiasa, ila kwenda Njombe pengine ni kumpunguza spidi kwa wanaoona kijana anakuja vibaya!
Asikate tamaa, apige kazi, kazi iendelee!
Hii ishu ya RC Mtaka iko hivi
IMG-20200516-WA0024.jpg


Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Wazungu wa wengine waliendelea wamefanikiwa kimaendeleo sababu ya utamaduni wa kuambiana ukweli.

Kuruhusu fikra Huyu na malumbano ya hoja ni kitu kizuri sana.

Hata Africa Kusini wanafanya hivyo uwe Master uwe nani wanakupa makavu live.

Hata awe Rais akikengeuka Africa kusini na Kenya wanaambiwa ukweli.

Tuliona kwa Zuma, Mbeki, n.k
 
Kwa wazungu hutoki kama kiongozi ukajiamulia kusema chochote au kufanya vyovyote hawakubali watakupa ukweli na Pengine Hata kuchukua hatua.

Ndio maana ili useme Mpango lazima ujiandae ili uondokane na kuonekana mpumbavu mbele ya jamii.
 
Kwa wazungu hutoki kama kiongozi ukajiamulia kusema chochote au kufanya vyovyote hawakubali watakupa ukweli na Pengine Hata kuchukua hatua.

Ndio maana ili useme Mpango lazima ujiandae ili uondokane na kuonekana mpumbavu mbele ya jamii.
Yaani kuna viongozi katika mamlaka za uteuzi/vetting ambao wana inferiority complex na kuogopa kuwa upstaged?
 
Mwanasiasa mteuliwa kwa kawaida hana kauli kwa sehemu ya kutumikia.

RC Mtaka nimekuwa namfuatilia toka akiwa Sumiyu. Ni kijana anatumia utu na akili katika maamuzi yake.

Miaka ya Mwendazake wakati ma RC wengine wakishindana kuwaweka ndani viongozi wenzao wa ngazi za chini, yeye alikiri kukataa dhambi hiyo isiyo na utu.

Pale Dodoma amejitahidi kufanya vizuri hasa katika elimu ya wananchi vijijini na utawala bora kwenye manispaa tofauti.

Hata hivi majuzi kuonyesha umma kuwa kati ya waendesha bodaboda kuna graduates, that was a master stroke.
Pengine kosa lililowakera wenzake ni kumsema kiongozi mwenziwe juu ya elimu ya watoto wadogo, lakini alisema kweli. He is straight foward, thoughtful na hakuna kumung'unya maneno this young politician.

Ana future nzuri kisiasa, ila kwenda Njombe pengine ni kumpunguza spidi kwa wanaoona kijana anakuja vibaya!
Asikate tamaa, apige kazi, kazi iendelee!
Kwani njombe hawataki RC mzuri?
 
Back
Top Bottom