Mtaka kwenda kuwa RC Njombe ni kumpunguza spidi?

Mtaka kwenda kuwa RC Njombe ni kumpunguza spidi?

Sisi wananchi ndio tunamuelewa zaidi maaana yeye ni mtumishi wetu.

Mnataka mtu ambae yupo yupo ambae kazi yake ni uchawa kusifu na kuabudu tu watu ?!

Na jamaa inabidi aanze kumsihi Mungu azidi kumlinda na kujilinda asijeakaaekewa thumu kama anko Maguu.

Mtaka ana kitu kisicho cha kawaida na watesi huwa wanakiona mapema.

Kaa chonjo A. Mtaka

Maana si kwa chuki kiasi hicho!
Sisi wananchi? Umejipa jukumu la kuzungumzia na wengine?
 
Hapana,Yeye ni mtumishi wa umma.Popote anapopaswa kwenda kama ni mtendaji atatenda tu.Njombe nako wanahitji maendeleo na watumishi makini
Humu wengi akili.zipo kushoto, utapata shida sana kueleweka. Dawa ni kwenda nao hivyo king'ombeng'ombe.

Huyo unayomueleza hivyo hana akili hata moja, fikiria tu anashindwa kuelewa mtaka hawezi kukaa dodoma milele Wala hata kuwa mkuu wa mkoa milele.

Hata ikitokea mtaka atatenguliwa, ni sawa. Sio lazima awe mkuu wa mkoa.
 
Mwanasiasa mteuliwa kwa kawaida hana kauli kwa sehemu ya kutumikia.

RC Mtaka nimekuwa namfuatilia toka akiwa Sumiyu. Ni kijana anatumia utu na akili katika maamuzi yake.

Miaka ya Mwendazake wakati ma RC wengine wakishindana kuwaweka ndani viongozi wenzao wa ngazi za chini, yeye alikiri kukataa dhambi hiyo isiyo na utu.

Pale Dodoma amejitahidi kufanya vizuri hasa katika elimu ya wananchi vijijini na utawala bora kwenye manispaa tofauti.

Hata hivi majuzi kuonyesha umma kuwa kati ya waendesha bodaboda kuna graduates, that was a master stroke.
Pengine kosa lililowakera wenzake ni kumsema kiongozi mwenziwe juu ya elimu ya watoto wadogo, lakini alisema kweli. He is straight foward, thoughtful na hakuna kumung'unya maneno this young politician.

Ana future nzuri kisiasa, ila kwenda Njombe pengine ni kumpunguza spidi kwa wanaoona kijana anakuja vibaya!
Asikate tamaa, apige kazi, kazi iendelee!
Mkuu wala sikuungi mkono, Mtaka ni mchapakazi mno nami nampenda kwa uchapaji kazi wake. Hivyo kutokana na ubora alionao mkuu wa nchi ameona ubora huo aende akautumie huko Njombe maana nao wanahitaji kuwa na kiongozi bora na mwenye maono.

Pia kiongozi akiwa mzuri hata ukimeleka wapi atakwenda na uzuri wake, kumbuka hivi vitu vinategemea sana malezi na makuzi mtu aliyekulia, mfano mzuri ni JPM kipindi akiwa waziri kila alipopelekwa alikuwa na ubora uleule. Kwa ubora wa Mh. Mtaka naamini Njombe nao watanufaika.
 
Mwanasiasa mteuliwa kwa kawaida hana kauli kwa sehemu ya kutumikia.

RC Mtaka nimekuwa namfuatilia toka akiwa Sumiyu. Ni kijana anatumia utu na akili katika maamuzi yake.

Miaka ya Mwendazake wakati ma RC wengine wakishindana kuwaweka ndani viongozi wenzao wa ngazi za chini, yeye alikiri kukataa dhambi hiyo isiyo na utu.

Pale Dodoma amejitahidi kufanya vizuri hasa katika elimu ya wananchi vijijini na utawala bora kwenye manispaa tofauti.

Hata hivi majuzi kuonyesha umma kuwa kati ya waendesha bodaboda kuna graduates, that was a master stroke.
Pengine kosa lililowakera wenzake ni kumsema kiongozi mwenziwe juu ya elimu ya watoto wadogo, lakini alisema kweli. He is straight foward, thoughtful na hakuna kumung'unya maneno this young politician.

Ana future nzuri kisiasa, ila kwenda Njombe pengine ni kumpunguza spidi kwa wanaoona kijana anakuja vibaya!
Asikate tamaa, apige kazi, kazi iendelee!
Watu wazuri nchi hii, huwa wanafitiniwa, Rais SSH KWENYE Baraza lako la mawaziri lazima upate vichwa Kama 6 KWENYE KWENYE wizara nyeti, Mh Mtaka hatakiwi KUWA Mkuu wa Mkoa tena,inabidi ateuliwe ubunge, then WAZIRI, ALAFU mpeleke Tamisemi, au elim, na makao makuu ya nchi hujatenda haki kumuondoa mh Mtaka, hapa hujashauriwa vyema
 
Watu wazuri nchi hii, huwa wanafitiniwa, Rais SSH KWENYE Baraza lako la mawaziri lazima upate vichwa Kama 6 KWENYE KWENYE wizara nyeti, Mh Mtaka hatakiwi KUWA Mkuu wa Mkoa tena,inabidi ateuliwe ubunge, then WAZIRI, ALAFU mpeleke Tamisemi, au elim, na makao makuu ya nchi hujatenda haki kumuondoa mh Mtaka, hapa hujashauriwa vyema
Haswaaa na ndio muelekeo wangu.
 
Watu wazuri nchi hii, huwa wanafitiniwa, Rais SSH KWENYE Baraza lako la mawaziri lazima upate vichwa Kama 6 KWENYE KWENYE wizara nyeti, Mh Mtaka hatakiwi KUWA Mkuu wa Mkoa tena,inabidi ateuliwe ubunge, then WAZIRI, ALAFU mpeleke Tamisemi, au elim, na makao makuu ya nchi hujatenda haki kumuondoa mh Mtaka, hapa hujashauriwa vyema
Hauna akili? Huo ubora wa mtaka ni upi?
 
Aliyepunguziwa spidi ni Binilith Satano Mahenge
 
Back
Top Bottom