Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Sisi wananchi? Umejipa jukumu la kuzungumzia na wengine?Sisi wananchi ndio tunamuelewa zaidi maaana yeye ni mtumishi wetu.
Mnataka mtu ambae yupo yupo ambae kazi yake ni uchawa kusifu na kuabudu tu watu ?!
Na jamaa inabidi aanze kumsihi Mungu azidi kumlinda na kujilinda asijeakaaekewa thumu kama anko Maguu.
Mtaka ana kitu kisicho cha kawaida na watesi huwa wanakiona mapema.
Kaa chonjo A. Mtaka
Maana si kwa chuki kiasi hicho!
Ni kama kumtaka Rais wetu akawe rais wa Burundi!!!Kwani njombe hawataki RC mzuri?
Huwa napata sana mashaka napoona bavichaa wanamsifia kiongozi flaniHii ishu ya RC Mtaka iko hiviView attachment 2307709
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Hapana,Yeye ni mtumishi wa umma.Popote anapopaswa kwenda kama ni mtendaji atatenda tu.Njombe nako wanahitji maendeleo na watumishi makiniNi kama kumtaka Rais wetu akawe rais wa Burundi!!!
Humu wengi akili.zipo kushoto, utapata shida sana kueleweka. Dawa ni kwenda nao hivyo king'ombeng'ombe.Hapana,Yeye ni mtumishi wa umma.Popote anapopaswa kwenda kama ni mtendaji atatenda tu.Njombe nako wanahitji maendeleo na watumishi makini
Umejaza kinyesi kichwani mwako badala ya ubongoHuwa napata sana mashaka napoona bavichaa wanamsifia kiongozi flani
Mkuu wala sikuungi mkono, Mtaka ni mchapakazi mno nami nampenda kwa uchapaji kazi wake. Hivyo kutokana na ubora alionao mkuu wa nchi ameona ubora huo aende akautumie huko Njombe maana nao wanahitaji kuwa na kiongozi bora na mwenye maono.Mwanasiasa mteuliwa kwa kawaida hana kauli kwa sehemu ya kutumikia.
RC Mtaka nimekuwa namfuatilia toka akiwa Sumiyu. Ni kijana anatumia utu na akili katika maamuzi yake.
Miaka ya Mwendazake wakati ma RC wengine wakishindana kuwaweka ndani viongozi wenzao wa ngazi za chini, yeye alikiri kukataa dhambi hiyo isiyo na utu.
Pale Dodoma amejitahidi kufanya vizuri hasa katika elimu ya wananchi vijijini na utawala bora kwenye manispaa tofauti.
Hata hivi majuzi kuonyesha umma kuwa kati ya waendesha bodaboda kuna graduates, that was a master stroke.
Pengine kosa lililowakera wenzake ni kumsema kiongozi mwenziwe juu ya elimu ya watoto wadogo, lakini alisema kweli. He is straight foward, thoughtful na hakuna kumung'unya maneno this young politician.
Ana future nzuri kisiasa, ila kwenda Njombe pengine ni kumpunguza spidi kwa wanaoona kijana anakuja vibaya!
Asikate tamaa, apige kazi, kazi iendelee!
Bavichaa wehuUmejaza kinyesi kichwani mwako badala ya ubongo
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Watu wazuri nchi hii, huwa wanafitiniwa, Rais SSH KWENYE Baraza lako la mawaziri lazima upate vichwa Kama 6 KWENYE KWENYE wizara nyeti, Mh Mtaka hatakiwi KUWA Mkuu wa Mkoa tena,inabidi ateuliwe ubunge, then WAZIRI, ALAFU mpeleke Tamisemi, au elim, na makao makuu ya nchi hujatenda haki kumuondoa mh Mtaka, hapa hujashauriwa vyemaMwanasiasa mteuliwa kwa kawaida hana kauli kwa sehemu ya kutumikia.
RC Mtaka nimekuwa namfuatilia toka akiwa Sumiyu. Ni kijana anatumia utu na akili katika maamuzi yake.
Miaka ya Mwendazake wakati ma RC wengine wakishindana kuwaweka ndani viongozi wenzao wa ngazi za chini, yeye alikiri kukataa dhambi hiyo isiyo na utu.
Pale Dodoma amejitahidi kufanya vizuri hasa katika elimu ya wananchi vijijini na utawala bora kwenye manispaa tofauti.
Hata hivi majuzi kuonyesha umma kuwa kati ya waendesha bodaboda kuna graduates, that was a master stroke.
Pengine kosa lililowakera wenzake ni kumsema kiongozi mwenziwe juu ya elimu ya watoto wadogo, lakini alisema kweli. He is straight foward, thoughtful na hakuna kumung'unya maneno this young politician.
Ana future nzuri kisiasa, ila kwenda Njombe pengine ni kumpunguza spidi kwa wanaoona kijana anakuja vibaya!
Asikate tamaa, apige kazi, kazi iendelee!
Haswaaa na ndio muelekeo wangu.Watu wazuri nchi hii, huwa wanafitiniwa, Rais SSH KWENYE Baraza lako la mawaziri lazima upate vichwa Kama 6 KWENYE KWENYE wizara nyeti, Mh Mtaka hatakiwi KUWA Mkuu wa Mkoa tena,inabidi ateuliwe ubunge, then WAZIRI, ALAFU mpeleke Tamisemi, au elim, na makao makuu ya nchi hujatenda haki kumuondoa mh Mtaka, hapa hujashauriwa vyema
Ali Maswanya...Yule jamaa wa Vodacom kanda ya ziwa alimgomea asiyegomewa kipindi kile.
Hauna akili? Huo ubora wa mtaka ni upi?Watu wazuri nchi hii, huwa wanafitiniwa, Rais SSH KWENYE Baraza lako la mawaziri lazima upate vichwa Kama 6 KWENYE KWENYE wizara nyeti, Mh Mtaka hatakiwi KUWA Mkuu wa Mkoa tena,inabidi ateuliwe ubunge, then WAZIRI, ALAFU mpeleke Tamisemi, au elim, na makao makuu ya nchi hujatenda haki kumuondoa mh Mtaka, hapa hujashauriwa vyema
Sisi wananchi? Umejipa jukumu la kuzungumzia na wengine?
We mpuuzi, huwa sijibizani na wapuuziHauna akili? Huo ubora wa mtaka ni upi?
Wamepumzishwa kwa mda ngoja hawa wapya washibe kwanzaKafulila asiachwe ni msaada mkubwa kwenye Serikali na Chama