Mtakie kheri ya Christmas na Mwaka Mpya, member yeyote unayemkubali hapa

Mtakie kheri ya Christmas na Mwaka Mpya, member yeyote unayemkubali hapa

Napenda kujitakia heri ya sikukuu ya krismasi popote pale nilipo ikawe heri na baraka kwangu pili kwa familia yote kuanzia katika shina la ukoo yaani kutoka kwa babu hadi vitukuu,tatu kwa wana Jf Wote Mungu akulindeni
 
Thank you mkuu, Merry Christmas to you too.

😅😅😅 pole jaman, mbona hukumuwekea ulinzi madhubuti.
Naungana nawe kulaani kitendo hicho na huyo kibaka aliyepita na kuku wako kesho aamke na tumbo la kuendesha kiasi kwamba ashindwe hata kunywa chai kwa amani, kila atakachokula na kunywa kimuumize tumbo hadi arudishe huyo kuku.
😂😂 Nimependa hizi hasira, umenizidi hata mimi.
PS: God bless your day, you're the best in my book.
 
Nawatakia marry christmas MATAGA wote wa JF popote pale walipo wakiongozwa na Kamanda Asiyechoka 😁😁😁
16404082741561.jpg
16404082555400.jpg
 
Back
Top Bottom