Sawa. Endelea kula mishkaki ya walinziNawe pia bwashee!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa. Endelea kula mishkaki ya walinziNawe pia bwashee!
Tuko ndani ya treni ya Polepole bwashee.Sawa. Endelea kula mishkaki ya walinzi
Ukifika Makanya nistue.Tuko ndani ya treni ya Polepole bwashee.
Moshi Moja hiyo!
AmenMaxence Melo Mshana Jr, Nyani Ngabu, Mwifwa, Bill Lugano , Ziroseventytwo , Zero IQ, Baba Swalehe, Extrovert , Sky Eclat , sky ler financial services, Madame B, Madame S, BAK, ndyoko, Arushaone , Mtambuzi, figganigga , Kipaji Halisi, RRONDO, Mbepo yamba , Zero 2 Hero Nazjaz , Raaj , Miss Natafuta, Pearl, cacico, sosoliso, Tesla, Daktari wa Meno, green city Bwana PGO, Hum B, GuDume, lyenyi , Pascal Mayalla, CHADEMA, ndege JOHN, Analyse, Aliko Musa, Mad Max, Karma, Red Giant
[emoji120][emoji120] [emoji7][emoji7]More love more life....[emoji8][emoji8]
Thank you mkuu, Merry Christmas to you too.Merry Christmas Lenie .
On the other news, wahuni wamefanikiwa kupita na kuku wangu wa sikukuu, nimegundua muda mfupi uliopota. Lenie na wanaJF wenzangu wengine nawaomba muungane na mimi kulaani tukio hili, asanteni.
bebika tu huku😪Thank you mkuu, Merry Christmas to you too.
😅😅😅 pole jaman, mbona hukumuwekea ulinzi madhubuti.
Naungana nawe kulaani kitendo hicho na huyo kibaka aliyepita na kuku wako kesho aamke na tumbo la kuendesha kiasi kwamba ashindwe hata kunywa chai kwa amani, kila atakachokula na kunywa kimuumize tumbo hadi arudishe huyo kuku.