Usiku mwema my x unanifanya usiku nakesha kwenye uzi wa" Jf Usku wa manane" nakuchukia Ulale uote unakimbizwa na msukule upo kaburini Umelala na makaniki shweeen ww
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Wewe si nilikukataza hizi mambo, Bado unampenda huyu x ukiendelea hivyo jiandae kupata kihoro
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Usiku mwema walevi na wanywaji wootee
Kiroho safi member mwenzangu huyo mkuu....[emoji12] [emoji12]Moyo wangu huo kamanda
Duhhhh.....[emoji15] [emoji15]Usiku mwema kapeace
Usiku mwema kipenzi
Yeah amelala nipo nae hapaUmeshalala
Sawa!! Maana nimeona nikupe tahadhar tu kamandaKiroho safi member mwenzangu huyk mkuu....[emoji12] [emoji12]