Jiwedogo
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 2,811
- 4,097
Samahani mkuu, naona majembe yamejigonga kwa shamba...[emoji12] [emoji12]Sawa!! Maana nimeona nikupe tahadhar tu kamanda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samahani mkuu, naona majembe yamejigonga kwa shamba...[emoji12] [emoji12]Sawa!! Maana nimeona nikupe tahadhar tu kamanda
Bado leo vp mpk sahv hukuUmeshalala
Bado leo vp mpk sahv huku
Yeah amelala nipo nae hapa
Eeh pole..karibu kule kilingeni kwetu, jf usiku wa mananeUsingizi umegoma
Athubutu kufanya, hivyo hata siku1Nimemtumia PM kumwambia Toroka Uje.
Namsubiri
Eeh pole..karibu kule kilingeni kwetu, jf usiku wa manane
Athubutu kufanya, hivyo hata siku1
TayariKumeshafunguliwa?
Ya tabata auMkuu Toroka Uje haina mjanja.
Ya tabata au
[emoji122] [emoji122] [emoji122]Usiku mwema uzi wa kupeana likes
Punguza jazbaUsiku mwema my x unanifanya usiku nakesha kwenye uzi wa" Jf Usku wa manane" nakuchukia Ulale uote unakimbizwa na msukule upo kaburini Umelala na makaniki shweeen ww
Ntakujaaa[emoji14] [emoji14] Hivi ni vitu muhimu sana[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Ebu ujage hapa mahindi moshi tuliendeleze likiwanda la tbl
Ahsante sana mdogo wangu japo dada yako ameshaamka.Usiku mwema Dada yangu emmyta Mwenyezi Mungu akujalie hekima na Maisha na marefu.
Bila kuwasahau marafiki wangu wote wa hapa JF, kwa hakika nikksema niwaorodheshe wote hapa sitawamaliza muwe na usiku mwema na muote njozi njema zenye kuakisi malengo na ndoto zenu za mafanikio.
Pia niwatakie wana JF wote usiku mwema endeleeni kuwa active ili kuifanya JF iwe imara kwani bila Member JF haiwezi kuitwa JF
Usjali mkuu, Pole kwa kupata hangaiko la moyo...[emoji12] [emoji12]Sawa!! Maana nimeona nikupe tahadhar tu kamanda