Mtakie usiku mwema na njozi njema rafiki, kipenzi au mtu wako wa unaempenda kutoka moyoni

Usiku mwema kwa yeyote anayehusika.
Usiku mwema my elvee nakutakia njozi njema na wimbo wa hello wa Adele
 
Usiku mwema my x unanifanya usiku nakesha kwenye uzi wa" Jf Usku wa manane" nakuchukia Ulale uote unakimbizwa na msukule upo kaburini Umelala na makaniki shweeen ww
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Usiku mwema na nyinyi pia muote ndoto saaaaafiiiii na nzuri malaika wema wawalinde na kuzunguka vitandani mwenu, na wenye wake mpate watoto 6. MAPACHA [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
 
Mimi najipenda mimi kama mimi kwahy siitajii kumtakia mtuu yyte njozi njema kwan kama ni njozi njemaa wacha niziotee mwwnywe kila mtu ataotaa zakwakee
 
Many thanks Eva

Adam aliumbwa nakunako ubavu wake akapatikana eva.....must be Kapeace

And I Adolay must be Adam

I love you sweetheart more and more.
Umeshapatikana Adam maana wanaume wote wapole na wastaarabu huwa nawatunuku kwa kuwaita Adam,

Umeamkaje Adam wangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…