Mtakuja kutuua...

Mtakuja kutuua...

Mmmhhh!! kweli saa 5 mtu hajafika safr au umeongeza na chumvi!!
 
Vumbi la Kongo la kijinga sana.

Kama kawaida yangu huwa sipendi kusimuliwa, jamaa yangu mmoja kaja nalo kutoka kwa mchezaji mmoja wa club ya mpira sijui wanatoaga wapi.

Akanielekeza namna ya kutumia, siku hiyo kuna kidemu flani kimeshanilia vihela vyangu vya kubeba mizigo K/koo nikasema wacha nifunge vumbi leo, aisee vumbi upuuzi maana sijakojoa mpaka tukaghairi tukaenda kula na kuzurura.

Tumerudi saa tano usiku tukaanza game nimekuja kukojoa baada ya muda mrefu, styles zote zimeisha, tumetoka room tumehamia bafuni kote tunatafuta bao tu.


Sitaki tena hilo vumbi maana ni mateso tu sijaenjoi chochote zaidi ya kuteseka[emoji3][emoji3]
 
Wanaume wenzangu tusiache kutumia vumbi inaonekana tumewashika pabaya tukazie hapohapo
 
Kama ni nguvu za asili basi sawa ila kama ni msaada wa vumbi mtakuja kutuua jamani, masaa matano, matano yani namaanisha matano!!!! Yote ni pwa pwa pwa vibao vya huku hivi pa pa pa.....hata kama twapenda masafa marefu sio hivi asee sio kwa mwendo huu wa kupiga pmb la hela yote. Kausha bahari,kausha mto, kausha dimbwi.....

Ilibidi niombe ushauri juu ya ufanywaji huu nikaambiwa hivi "inatakiwa few hours before ule glucose au unywe energy drink" yani utadhani naenda kucheza football hadi glucose duh eti wanawake wenzangu hivo vya kuboost energy vinasaidia?

Hapana nafsi imesurrender japo moyo hautaki, inaonekana moyo uliridhika na mchamchaka, glucose + energy drink +vumbi la congo, moyo moyo moyo utakuja kusimama siku si zako.
Najidediketia lile songi "amekoma" side mnyamwezi
Looh
 
Kama ni nguvu za asili basi sawa ila kama ni msaada wa vumbi mtakuja kutuua jamani, masaa matano, matano yani namaanisha matano!!!! Yote ni pwa pwa pwa vibao vya huku hivi pa pa pa.....hata kama twapenda masafa marefu sio hivi asee sio kwa mwendo huu wa kupiga pmb la hela yote. Kausha bahari,kausha mto, kausha dimbwi.....

Ilibidi niombe ushauri juu ya ufanywaji huu nikaambiwa hivi "inatakiwa few hours before ule glucose au unywe energy drink" yani utadhani naenda kucheza football hadi glucose duh eti wanawake wenzangu hivo vya kuboost energy vinasaidia?

Hapana nafsi imesurrender japo moyo hautaki, inaonekana moyo uliridhika na mchamchaka, glucose + energy drink +vumbi la congo, moyo moyo moyo utakuja kusimama siku si zako.
Najidediketia lile songi "amekoma" side mnyamwezi
Shemelaaaa..... Unavumilia tu... we usijali kama ni nguvu za asili, au za vumbi la kwa olomide au glucose... AHahahahahahaa we injoi ze show shemelaa..!!! Ukizingatia mtima umeridhia gwaride hilo..
 
Vumbi la Kongo la kijinga sana.

Kama kawaida yangu huwa sipendi kusimuliwa, jamaa yangu mmoja kaja nalo kutoka kwa mchezaji mmoja wa club ya mpira sijui wanatoaga wapi.

Akanielekeza namna ya kutumia, siku hiyo kuna kidemu flani kimeshanilia vihela vyangu vya kubeba mizigo K/koo nikasema wacha nifunge vumbi leo, aisee vumbi upuuzi maana sijakojoa mpaka tukaghairi tukaenda kula na kuzurura.

Tumerudi saa tano usiku tukaanza game nimekuja kukojoa baada ya muda mrefu, styles zote zimeisha, tumetoka room tumehamia bafuni kote tunatafuta bao tu.


Sitaki tena hilo vumbi maana ni mateso tu sijaenjoi chochote zaidi ya kuteseka[emoji3][emoji3]
Na mnawapataga hao wa kuwalala mbaka masaa. Mmh
 
Kama ni nguvu za asili basi sawa ila kama ni msaada wa vumbi mtakuja kutuua jamani, masaa matano, matano yani namaanisha matano!!!! Yote ni pwa pwa pwa vibao vya huku hivi pa pa pa.....hata kama twapenda masafa marefu sio hivi asee sio kwa mwendo huu wa kupiga pmb la hela yote. Kausha bahari,kausha mto, kausha dimbwi.....

Ilibidi niombe ushauri juu ya ufanywaji huu nikaambiwa hivi "inatakiwa few hours before ule glucose au unywe energy drink" yani utadhani naenda kucheza football hadi glucose duh eti wanawake wenzangu hivo vya kuboost energy vinasaidia?

Hapana nafsi imesurrender japo moyo hautaki, inaonekana moyo uliridhika na mchamchaka, glucose + energy drink +vumbi la congo, moyo moyo moyo utakuja kusimama siku si zako.
Najidediketia lile songi "amekoma" side mnyamwezi
Ha ha ha ha ha haaaah, na ukila vya watu ukawa unarukaruka siku ukipatikana ndo huwa hivyo
 
Back
Top Bottom