Haaaaaaaaa vita ya tatu ya dunia mkuuMtakuja kufa kwa mshtuko wa moyo, mapenzi ni kufurahia na sio kukomoana. Unapiga game, ukitoka hapo uwezi kutembea. Nyapu imetepeta, mkuyange umevimba mambo gani sasa hayo?
Lile tingatinga lile shwain zakeHahahah huyo mwanaume au gredaaa
WeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeNacheka kila nikisoma post za huu Uzi, sasa hapo inatakiwa umpe tena
Lile tingatinga lile shwain zake
WeeeeeeeeeeeeeeeeShwain? Wakati unataka tena?![emoji3]
Swali la kizushi,sasa Mr nyumbani angeomba mzigo ingekuaje,wkt mchepuko umetibua tibua njia yoteWeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Lazima ugongwe tena aisee... Hata leba tunaapa hatushiki mimba tena ila ukishapakata kichanga mikononi mara unatania miguu tena... Chezea Biology weye!!!!Niliblock namba bro, baada ya siku tatu mwili kupoa, na organ zote za mwili kurudi katika hali ya kawaida nikarudi kwa ile number taratibu nikai unblock....
Halafu umekomaa kusema mchepuko hivi unajua unanigombanisha na mme wangu, asali wa roho yangu daktari wa maradhi yangu yote?!!!!! Unanipa tabu we hayaSwali la kizushi,sasa Mr nyumbani angeomba mzigo ingekuaje,wkt mchepuko umetibua tibua njia yote
Kwa hiyo jamaa aliishia mbele na nyuma tu?mnakoelekea mtasema nilitmbw hadi masikioni, nayo yalikaushwa..... vichwa vyenu!!!!
Njoo kwetu vibabu 70, hahahaaaaaaa! Hiyo umeikuta wapi mama nanihiiii?Kama ni nguvu za asili basi sawa ila kama ni msaada wa vumbi mtakuja kutuua jamani, masaa matano, matano yani namaanisha matano!!!! Yote ni pwa pwa pwa vibao vya huku hivi pa pa pa.....hata kama twapenda masafa marefu sio hivi asee sio kwa mwendo huu wa kupiga pmb la hela yote. Kausha bahari,kausha mto, kausha dimbwi.....
Ilibidi niombe ushauri juu ya ufanywaji huu nikaambiwa hivi "inatakiwa few hours before ule glucose au unywe energy drink" yani utadhani naenda kucheza football hadi glucose duh eti wanawake wenzangu hivo vya kuboost energy vinasaidia?
Hapana nafsi imesurrender japo moyo hautaki, inaonekana moyo uliridhika na mchamchaka, glucose + energy drink +vumbi la congo, moyo moyo moyo utakuja kusimama siku si zako.
Najidediketia lile songi "amekoma" side mnyamwezi
pale pale unapotoka uwanja wa kuchinjiwa jikaze jisafishe vizuri.Nliweka barafu, ahsante
maji ya moto juu ya moto!!!hunipendi