huu msemo haunistahili, wakati sijui sikushauri anaejua wala aliyejaribu kufanya, kwa sasa najua kwa upana mkubwa sana na ndio mana nasema hili somo halina kabisa msaada kwa shule za serikali na anaebisha alete ushahidiMkuu kuna msemo mmoja ambao ni mithali ya Wachina wanasema: "Asiyejua asimshauri yule anayejua au anayejaribu kufanya".
mbona hueleweki, ulikuwa unasoma shule za tanzania kwa kiswahili ila ulijua kiingereza, hapo hapo ulikuwa unasali nairobi kwa kiingereza alafu unajua sala za kiswahili. uongo huu ama ni mkubwa sanaKama niliweza hata hivyo visentensi vichache, shida iko wapi? Kwani kiswahli ulikuwa unapata mia? Mimi ni mkatoliki, sala zote ya kikatoliki niliweza kwa kiswahili nikiwa primary. Nilikuwa nahudhuria ibada za kiingereza hapa Nairobi na Arusha. Ni juhudi binafsi zitakusaidia. Halafu wewe huwezi kuwa mwalimu, kama utamdharau mwanafunzi wako na kumwambia vijisentensi. Kuomba maji kwa kiingereza ukiwa primary ni mtihani tosha. Hebu pitia mada yako na uweze kuitathmini kama mchangiaji alivyotaka iwe kwa mfumo mwingine.
kiswahili kiachwe tu shule ya msingi huko huko ila kiingereza kianzie form one. maana watanzania wengi chini ya miaka 8 wanaongea lugha za makabila takribani asilimia 15 ya watanzania wotenadhani kiswahili ndio kifutwe... uswahili umezidi maofisini.. lugha ya kiofisi iwe english tu... kiswahili kiwe kama lugha nyingine angalau tutasonga mbele.
no challenge given, just escalative words like what you did in your first reply and that is a sign of ignorant and immaturityWhen giving a post to be discussed you must be ready to accept whatever the challenge encoutered. Some would be harsh when others polite.
kiswahili kitakufa mana watoto wengi chini ya miaka 9 hawajui kiswahili na wanatumia lugha za makabila yao.Mtoa mada english ya primary acha iendelee kuwepo,.tena ikibidi masomo yote yafundishwe kwa english...liwepo na somo la kiswahili...huo ndo ukombozi wa mtakuja primary school. Nasema hivyo kwa sababu kwa nchi kama yetu ambayo haijakua kiuchumi tunahitaji sana english ili iwe rahisi kujifunza mambo mengi kutoka kwa wenzetu walioendelea.
kiswahili kitakufa mana watoto wengi chini ya miaka 9 hawajui kiswahili na wanatumia lugha za makabila yao.
When giving a post to be discussed you must be ready to accept whatever the challenge encoutered. Some would be harsh when others polite.
Nashangaa kuona comment yangu imefutwa. Niliiandika usiku wa tar 18/03. Saa 2258. Mtoa mada ilikukera nini?
labda umetukana mkuu ndo maana mods wameifutaa
When giving a post to be discussed you must be ready to accept whatever the challenge encoutered. Some would be harsh when others polite.
huu msemo haunistahili, wakati sijui sikushauri anaejua wala aliyejaribu kufanya, kwa sasa najua kwa upana mkubwa sana na ndio mana nasema hili somo halina kabisa msaada kwa shule za serikali na anaebisha alete ushahidi
nilimaanisha kuwa wazungumzaji wa kiswahili watazidi kupungua kwa kuwa wengi wanaelewa shule ya msingi, na kitabaki kwa wachache, alafu sisi tz ndo tunasaidia uwepo wa kiswahili kwenye mataifa mengine, we are the sourcekitakufaje,,c kutakuwa na somo la kiswahili. Kenya wanawezaje?
haijafutwa, ni yeye na papara zake, ipo na ni koment ya awali kabisa na katukana alivyo na akili za ajabu, nilimjibu kistaarabu tu, na kuna mwingine ka quote hiyo comment
nilimaanisha kuwa wazungumzaji wa kiswahili watazidi kupungua kwa kuwa wengi wanaelewa shule ya msingi, na kitabaki kwa wachache, alafu sisi tz ndo tunasaidia uwepo wa kiswahili kwenye mataifa mengine, we are the source
mbona hueleweki, ulikuwa unasoma shule za tanzania kwa kiswahili ila ulijua kiingereza, hapo hapo ulikuwa unasali nairobi kwa kiingereza alafu unajua sala za kiswahili. uongo huu ama ni mkubwa sana