samahani! elimu yako ni ya kiwango kipi? maani huelewi kabisa kila nikiandika unaelewa tofauti, nimeandika TZ INASAIDIA UWEPO WA KISWAHILI KWENYE MATAIFA MENGINE, nikimaanisha chanzo cha kukua na uwepo wa kiswahili kwa sasa ni sisi, sikumaanisha chimbuko na asili ya kiswahlMSHINGA sidhani kama chimbuko la kiswahili kuwa tz. Hata wataalamu wa lugha hawajaweza kutupatia taarifa yakinifu kuhusiana na chimbuko la lugha ya kiswahili. Ukija huku kenya utawakuta wazungumzaji na wataalamu wazuri zaidi ya tanzania. Hata mtihani wa kiswahili kenya hufaulu zaidi ya kiingereza. Mimi mwenyewe mtanzania lakini kiswahili darasani nikiri nilikuwa hovyo sana. Japo nilifaulu hilo somo.
faida kwa taifa na kwa msomaji, tatizo ni kwambo malengo yake yameshindikana hivyo hata kwa wanafunzi wanamaliza na hawajui kabisa kiingerezaKwani mkuu faida ya somo fulani ni kwa kuinufaisha serikali au maarifa ya somo husika huwa ni faida kwa msomaji?
samahani! elimu yako ni ya kiwango kipi? maani huelewi kabisa kila nikiandika unaelewa tofauti, nimeandika TZ INASAIDIA UWEPO WA KISWAHILI KWENYE MATAIFA MENGINE, nikimaanisha chanzo cha kukua na uwepo wa kiswahili kwa sasa ni sisi, sikumaanisha chimbuko na asili ya kiswahl
thijui kingrethaaaaaaaaaaaaa af unataka kiswahili kifutwe!!!!!why mamii?..
nimeikumbuka hii story ya Mtakuja primary school shule ya msingi. Hoja si hiyo.
Hivi nini msaada na ufanisi wa somo la kiingereza shule za msingi za serikali?
Kila mtu ana maoni yake ila mimi sioni kabisa msaada wa hili somo hata likifutwa, nilimaliza shule ya msingi sijui chochote kuhusu kiingereza
thijui kingrethaaaaaaaaaaaaa af unataka kiswahili kifutwe!!!!!
miss you mamii..
ngoja nikutafutie kamusi..
Dadiiiii mie nataka unipeleke english course ya jamaa mmoja anaitwa simba nadhaniiii....