Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Nimefanyaje na mguu wa aliechelewa kuingia ukumbini๐๐๐๐๐we mkaka wewe,dah๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimefanyaje na mguu wa aliechelewa kuingia ukumbini๐๐๐๐๐we mkaka wewe,dah๐
Sasa shida zote izo za nini
Akitikisika ndio furaha yakeOo kumbe!๐ถ๐ถ
Kuna wengne viuno vigumu kama mawe [emoji23][emoji23]Sisi tunataka tuone mtikiso, na akiwa na mzigo ndio balaa zaidi
Sikuona na utulivu wa kuitizama vizuri naiomba pm kama utajali ๐ฅฐNilikuonesha tu wewe rafiki[emoji1787]
Ahsante [emoji3059][emoji3059][emoji3059]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mikucha hiyo ๐
Inabidi vifanyiwe mazoezi, tuvilegeze
[emoji23][emoji23] mwenzako hapo anaona katokelezeaKwa mikucha hiyo [emoji28]
Siambatani nawe ukiwa hivyo ๐คฃ๐
HayaSikuona na utulivu wa kuitizama vizuri naiomba pm kama utajali [emoji3059]
[emoji1787] bora avae raba eti?Siambatani nawe ukiwa hivyo [emoji1787][emoji23]
๐คฉ nasubiri usiangushe plzz
Avae viatu simpo kuficha makucha yake
[emoji23][emoji23][emoji23]Acha tu tuvunjike bana hiyo kiatu ina raha yake[emoji3]
Kuna siku nimetoka zangu church Kuna wadada walikuwa nyuma yangu nikawasikia wananisema eti "mi siwezi hicho kiatu Kama fashoni zinipitege asa akiteleza kwenye marumaru halafu kanisani[emoji849]
Nikageuka niwaone wanaoongea eh![emoji54] matukunyema,ikabidi nijichekee tu.. nikasema halali yenu kusema[emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app