Mtalaka wa Sugu azuiwa kuingia ofisi za RITA

Ilikuwa transparent na alikuwa kavaa bikini
 
Hyo hajavuka magoti kabisa pata picha ameangusha cm anaokota afu uko nyuma yake atahaingaika sana
 
huyo askari inabidi arudishwe kwao akapunguze tumbo.. huyu hawezi hata kukimbiza mwizi.
 
Akili yote ya huyo mwanamke iko hapo tumboni huyo Faiza hilo gauni lina shida gani jaman? mbona huyo askari ni mbulula haswa manina
 
Nguo ilikuwa nyepesi sana kiasi kwamba ilkuwa inaonesha maungo yake ya siri.
Ilikuwa sahihi kabisa kumzuia maana hawa wanawake (japo wanajiita mabinti) ukiwaendekeza watakuja uchi kabisa siku nyingine.
 
Nguo ilikuwa nyepesi sana kiasi kwamba ilkuwa inaonesha maungo yake ya siri.
Ilikuwa sahihi kabisa kumzuia maana hawa wanawake (japo wanajiita mabinti) ukiwaendekeza watakuja uchi kabisa siku nyingine.
Kumbee 😱
 
Aka kanchi kanazidi kuchanganyikiwa Sasa hapo vazi lina shida gani? mbona la kawaida kabisa
 
Huyu sugu nadhani anajuta kumjua faiza,maana kila upupu akifanya faiza sugu lazima atajwe.
 
Ifike mahali watu wajinga waelimishwe kuwa MAADILI NI DHANA TU YA KUFIKIRIKA INAYOTEGEMEA UTASHI WA MTU MMOJA MMOJA.

Huyu bibi atakwambia anatunza maadili ya kitanzania!!! heheeehe

Very ignorant.

Angekuja mzungu hapo na kachupi kake inawezekana huyo mbibi angetoa shkamoo kabisa!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…