Albert Alinanuswe
Senior Member
- Oct 2, 2017
- 196
- 274
Ilikuwa transparent na alikuwa kavaa bikiniMijitu mipumbavu inatafuta personal interest satisfaction kwa watu kinyume cha sheria. Uonevu huo.
Kwanza haian tofauti na hiyo alovaa yeye. Wewe ukiona askar kaning'iniza tumo hivo na hata kwa kumwangalia tu lazima ujue kuna tatizo mahala. Wivu wa kike!. Puambafu!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Shughuli kweli kweli. Umelipendea nini mkuu? Au ni mfuko wa kuweka zana?
Wanamtafutia kikiUpumbavu. Sasa hilo gauni lina tatizo gani? Mambo mengine ni wendawazimu na kutaka attention za kipumbavu!
huyo askari inabidi arudishwe kwao akapunguze tumbo.. huyu hawezi hata kukimbiza mwizi.View attachment 668359 Mtalaka wa mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi "Sugu", Faiza Ally alijikuta akizuiwa kuingia katika ofisi za RITA jijini Dar es Salaam kutokana na kuvaa mavazi yasiyo na staha.
Askari waliokuwepo ofisi za RITA walimtaka Faiza Ally akabadili vazi na kuvaa linalostahili kuvaliwa katika ofisi ya umma. Baada ya mvutano, alijitokeza msamaria aliyemuazima mtandio ambao alivaa na ndipo aliporuhusiwa kuingia ofisini ili kutimiziwa shida iliyompeleka.
Huyo afande inaonyesha anafakamia sana mavitimoto na biaHivi Hawa Askari wetu wanapewa muda wa mazoezi ya ukakamavu kweli, maana mama kaenea skirt iko chini ya kitomvu.
Umenisaidia kuuliza hili swali.Alifunga ndoa na sugu lini?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji61] [emoji61] [emoji85] [emoji85]Nimelipenda tumbo la Afande mmama
vp kuhus hilo komwe?Ila ana mguu mzuri sana
Nimependa chongo hivyo naliita kengezavp kuhus hilo komwe?