Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana mnaendesha nchi kama genge fulani la wahuniAcha kuongea vitu kisengerenyuma wewe, kuna watu ambao wana umimi na umbea km wabongo..
Mtu akiwa mgeni hko kwenu kazi kumfuatilia wala hamumpi pumzi..
Eti utasikia tena yule ana vibali kweli au raia haramu[emoji1787][emoji1787]
Kenya hakuna mtu ambae ana time na maisha ya watu
Don't compare Kenyans na Tanzanians please. Kenyan men ndiyo wanapenda sana ujinga na kufuatilia maisha ya watu as if they are womenNani asiyewajua nyie wapenda kupiga soga na kufuatilia yasiyowahusu..
Tungelikua na media za udaku huku basi[emoji1787][emoji1787]Don't compare Kenyans na Tanzanians please. Kenyan men ndiyo wanapenda sana ujinga na kufuatilia maisha ya watu as if they are women
Labda kama wameanza mwaka jana mimi nimekaa Kenya zaidi ya miaka 20 nilijisikia niko nyumbani sikuwahi kuwa harrased hata siku moja na niliheshimika sana kama mtz. Niko comfortable kuendesha gari Kenya kuliko hata Tz kwa kuwa sikuwahi kusimamishwa na traffic hata siku moja kwa miaka yote niliyokaa Kenya. Ndugu zangu walikuwa wanakuja Nairobi na magari yao hawajawahi kuwa harrased. Lakini mkenya aingie TZ na gari ya number plate ya Kenya harassment zinaanzia longido.Kwa kweli Kenya yabidi kubadilika....hata watanzania wakienda Kenya wanachukiwa sana na kua harassed. Wao wakija huku Tanzania hatuna matatizo wala time na wao.....wapo tu freely wanakula raha without being harassed.
Zanzibar sabibu kote koteMzungu pori
Hakuna harassment yyte anayofanyiwa mkenya zaidi ya ukaguzi wa kawaida anaofanyiwa mtu yeyote barabarani, tatizo la wakenya ni kupenda kulialia na kufikiri wao wanachukiwa na majirani zao wote, "Cry baby syndrome".Labda kama wameanza mwaka jana mimi nimekaa Kenya zaidi ya miaka 20 nilijisikia niko nyumbani sikuwahi kuwa harrased hata siku moja na niliheshimika sana kama mtz. Niko comfortable kuendesha gari Kenya kuliko hata Tz kwa kuwa sikuwahi kusimamishwa na traffic hata siku moja kwa miaka yote niliyokaa Kenya. Ndugu zangu walikuwa wanakuja Nairobi na magari yao hawajawahi kuwa harrased. Lakini mkenya aingie TZ na gari ya number plate ya Kenya harassment zinaanzia longido.
Hii sio ukweli. Watanzania wanakua harassed vipi? Watanzania wangapi? Au wote wanaokuja Kenya wanakua harassed?Kwa kweli Kenya yabidi kubadilika....hata watanzania wakienda Kenya wanachukiwa sana na kua harassed. Wao wakija huku Tanzania hatuna matatizo wala time na wao.....wapo tu freely wanakula raha without being harassed.
Toa real evidence kuwa Watanzania wote walio Kenya wanakuwa harassed? Hapa sio vijiweni, Sawa mzee?I think you are drunk....haya uliyosema ndiyo yanatokea Kenya...here in Tanzania who the hell gives a damn about Kenyans, be honest to yourself.
Duniani kote hakuna wanaume wanao midomo mikubwa kama wanaume wa bongo. Huwa mnalemea hata wanawake wenu kwenye kupaza sauti na kugombana.Don't compare Kenyans na Tanzanians please. Kenyan men ndiyo wanapenda sana ujinga na kufuatilia maisha ya watu as if they are women
Hawa malazy kwenye udaku ni hatari sana. Wenyewe wanasema kuwa wanaongoza Afrika pale youtube kwenye idadi ya watu wanaotazama video za udaku.Tungelikua na media za udaku huku basi[emoji1787][emoji1787]
Katika ukanda huu mnaongoza kw udaku ukitaka lia hadi ufe
Tembea hii dunia uone nchi na watu waliostaarabika. Security cameras zipo kila mahali traffic wa kazi gani zaidi ya kupotezea watu muda barabarani. Traffic wanasimamisha magari asubuhi watu wanaenda kujenga uchumi wa nchi unategemea taifa liendrlee vipi?. Halafu wewe kama sio mkenya hujui harassment wanazozipata.Hakuna harassment yyte anayofanyiwa mkenya zaidi ya ukaguzi wa kawaida anaofanyiwa mtu yeyote barabarani, tatizo la wakenya ni kupenda kulialia na kufikiri wao wanachukiwa na majirani zao wote, "Cry baby syndrome".
Hii post yako inaonyesha ni kiasi gani unavyodanganya, Hakuna nchi yoyote hapa duniani unayoweza kuendesha gari hata mwaka mmoja bila kusimamishwa na polisi barabarani kwa ukaguzi wa kawaida, hasa kwa nchi kama Kenya yenye matatizo makubwa ya ujambazi na ugaidi, kama ni kweli hujasimamishwa kwa ajili ya "regular police check",basi Kenya ni nchi ya hovyo sana kiusalama
Hakuna harassment yyte anayofanyiwa mkenya zaidi ya ukaguzi wa kawaida anaofanyiwa mtu yeyote barabarani, tatizo la wakenya ni kupenda kulialia na kufikiri wao wanachukiwa na majirani zao wote, "Cry baby syndrome".
Hii post yako inaonyesha ni kiasi gani unavyodanganya, Hakuna nchi yoyote hapa duniani unayoweza kuendesha gari hata mwaka mmoja bila kusimamishwa na polisi barabarani kwa ukaguzi wa kawaida, hasa kwa nchi kama Kenya yenye matatizo makubwa ya ujambazi na ugaidi, kama ni kweli hujasimamishwa kwa ajili ya "regular police check",basi Kenya ni nchi ya hovyo sana kiusalama
Unaendelea kudanganya baada ya kugundua tumejua unadanganya, eti miaka 20 bila kusimamishwa na police [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtu unasimamishwa na traffick mara nne kwenye distance ya km 10 halafu unaulizwa maswali yale yale bado tunasafari ndefu sana
Nimekwambia tembea hii dunia utaona na kujifunza mengi. Nikudanganye ili iweje? Wewe unafikiri ni ufahari kusimamishwa kila saa na traffick? Kuna nchi hata traffick barabarani humuoni.Unaendelea kudanganya baada ya kugundua tumejua unadanganya, eti miaka 20 bila kusimamishwa na police [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Anga hzo wana mataji tena yenye hadhi kubwa duniani, eti jamaa anakuja kusema kenyan's tunafuatilia maisha ya watu..Hawa malazy kwenye udaku ni hatari sana. Wenyewe wanasema kuwa wanaongoza Afrika pale youtube kwenye idadi ya watu wanaotazama video za udaku.