Mtambo wa kuzalisha Maji wa Ruvu Juu umezimwa tena kwa Matengenezo

Mtambo wa kuzalisha Maji wa Ruvu Juu umezimwa tena kwa Matengenezo

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Kwa mujibu wa Taarifa ya Mamlaka ya Majisafi na Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) mtambo huo umezimwa kuanzia leo Februari 23, 2023 hadi saa 6 usiku Februari 24, 2023

Maeneo yanayoathirika ni Chalinze, Mboga, Ruvu Darajani, Ruvu JKT, Vigwaza, Mlandizi, Mbwawa, Visiga, Maili 35, Misugusugu, Kongowe, Soga, Miembe Saba, Kwa Mfipa, Mwendapole, Tanita, Kwa Mathias, Kwa Mbonde, Picha ya Ndege, Lulanzi na Kibaha

Maeneo mengine ni Kiluvya, Kibamba, Mbezi, Magari Saba, Mbezi Inn, Mbezi, Kimara, Tabata, Segerea, Kinyerezi, Kisukuru, Bonyokwa, Msigani, Maramba Mawili, Kimara B, Kimara Korogwe, Bucha, Baruti, Ubungo, Magomeni, Ukonga, Uwanja wa Ndege, Kiwalani, Vingunguti, Gongo la Mboto, Pugu na Kisarawe.

Huduma inatarajiwa kuimarika kuanzia Ijumaa Februari 24, 2024

Wasiliana na DAWASA kwa 0800110064 au kwa WhatsApp 0735 202 121

1677151431573.png
 
CCM Kwa uwongooooo 😎😎😎 mkuu wa mkoa bwana amosi makalla alisema Sasa ni historia hakuna tena shida ya maji
 
Eti maeneo mengine si waseme dar yote Na maeneo yake tu
 
Kwa mujibu wa Taarifa ya Mamlaka ya Majisafi na Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) mtambo huo umezimwa kuanzia leo Februari 23, 2023 hadi saa 6 usiku Februari 24, 2023

Maeneo yanayoathirika ni Chalinze, Mboga, Ruvu Darajani, Ruvu JKT, Vigwaza, Mlandizi, Mbwawa, Visiga, Maili 35, Misugusugu, Kongowe, Soga, Miembe Saba, Kwa Mfipa, Mwendapole, Tanita, Kwa Mathias, Kwa Mbonde, Picha ya Ndege, Lulanzi na Kibaha

Maeneo mengine ni Kiluvya, Kibamba, Mbezi, Magari Saba, Mbezi Inn, Mbezi, Kimara, Tabata, Segerea, Kinyerezi, Kisukuru, Bonyokwa, Msigani, Maramba Mawili, Kimara B, Kimara Korogwe, Bucha, Baruti, Ubungo, Magomeni, Ukonga, Uwanja wa Ndege, Kiwalani, Vingunguti, Gongo la Mboto, Pugu na Kisarawe.

Huduma inatarajiwa kuimarika kuanzia Ijumaa Februari 24, 2024

Wasiliana na DAWASA kwa 0800110064 au kwa WhatsApp 0735 202 121

Waupeleke mombasa ukafanyiwe ukarabati wa mabilioni
 
Mtambo wa kuzalisha maji? Maji wanayazalisha au wanafanya water treatment?

Hebu tafuteni msamiati mzuri hiyo "kuzalisha" wakati mnayatoa hapo mtoni sio sawa.
 
Maji yenyewe huku Pugu yanakuja na rangi ya kitu?
 
Back
Top Bottom