njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Ule mtambo wa mabao toka Burundi uliowapagawisha wana yanga ulipowasili nchini na kupokewa na rundo la mashabiki umeaga rasmi na kuacha majonzi makubwa kwa mashabiki wa team hiyo inayokamata nafasi ya 74 kwa ubora barani afrika ikiwa nyuma kidogo ya namungo ambayo inakamata nafasi ya 60.
Hizi ni mojawapo ya nyuzi za wana jf waliokuwa very excited na ujio wa nguli huyo wa soka toka nchini Burundi.
- Fiston Abdoul Razak: Kheri nusu shari kuliko shari kamili. haikua bahati tu, bali ni neema ya siku ya jumapili ya tarehe 5 ya september 1993
Huku wengine wakisema jamaa ni mkali kulimo Mohamed Salah
- Je, striker mpya wa Yanga Fiston Abdul Razaq ni bora kuliko Mo Salah?
Hapa akiwa anapokelewa na mashabiki wa yanga wakiongozwa na bingwa wa usajili afrika mashariki na kati engineer hersi
Hizi ni mojawapo ya nyuzi za wana jf waliokuwa very excited na ujio wa nguli huyo wa soka toka nchini Burundi.
- Fiston Abdoul Razak: Kheri nusu shari kuliko shari kamili. haikua bahati tu, bali ni neema ya siku ya jumapili ya tarehe 5 ya september 1993
Huku wengine wakisema jamaa ni mkali kulimo Mohamed Salah
- Je, striker mpya wa Yanga Fiston Abdul Razaq ni bora kuliko Mo Salah?
Hapa akiwa anapokelewa na mashabiki wa yanga wakiongozwa na bingwa wa usajili afrika mashariki na kati engineer hersi