Nick girland
JF-Expert Member
- Jan 13, 2020
- 291
- 200
,
Hahaha!!! Hawa jamaa kweli vituko. Anamsema striker ana goli kumi.Yaani hata Mugalu unamsema, basi ujui mpira, Mugalu anagoli 10 ambazo hakuna mfungaji wa Yanga anazo, na ni wa NNE kwa wafungaji bora, afu unamsema eti. Utopolo kweli ni jina lililochelewa sana kupewa nyie