Mtanange wa Klabu Bingwa Afrika: Al Ahly 5 vs Simba SC 0

This is simbaaaaaaaaaa bwana ..hohohooo hoooooo ..hiiiiiiiii hiiiiiiii hiiiiiiiiiii hahaaaa haaaaaa Greece heeeeee huuuuuhuuuuu huuuuuuu bwaaaaa hahaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Reactions: ram
Halafu kocha anafanya nini mpaka sasa? Hata sub moja? Ina maana makosa yote haya hayaoni?

Seriously nimekasirika mno, ingekuwa Yanga ndio inacheza leo ningepata hasara ya TV.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Kiukweli waarabu wametuacha mbali Sana wanacheza mpira was akili na speed
Tunasemaga wanapendelewa lakini kiukweli mpira wanaujua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, ni kikosi chote kasoro okwi.
 
Mi simba ila naona hamna namna bali lila mchezaji arudi kabeba goli lake, itapendeza.
 
Hamna bwana waarabu wamezidi refa kipindi cha pili inabidi awahesabu , khaaa tano kipindi cha kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…