sir venance
Senior Member
- Oct 26, 2017
- 151
- 223
HahahaHapana mkuu mimi nashangilia tu .... huwaga nafurahi pindi hizi timu zote mbili (simba na yanga) .... kwa sababu wana miaka mingi kwenye hii tasnia ya mchezo wa mpira wa miguu ...lakini wameshindwa kuwapatia mashabiki wao kile ambacho wana stahiki ....... binafsi sinaga uzalendo na vitu vibovu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi simba siwalaum, shida ipo tff kwa kina kiria na wenzake inatakiwa revolution ya uongozi ndipo tutapata vilabu imaraHalafu kocha anafanya nini mpaka sasa? Hata sub moja? Ina maana makosa yote haya hayaoni?
Seriously nimekasirika mno, ingekuwa Yanga ndio inacheza leo ningepata hasara ya TV.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ila wakikutana na mabeberu utawaonea huruma!Kiukweli waarabu wametuacha mbali Sana wanacheza mpira was akili na speed
Tunasemaga wanapendelewa lakini kiukweli mpira wanaujua
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio hata mimi babu yangu keshaniambia kuwa tuna rudisha ...pale tulikuwa tuna wapima tu kwanza kama wanaujua kweli mpira....kidoogo wana jitahidiTunasawazisha kipindi cha pili,hii ni kwa mujibu wa babu yangu kutoka sumbawanga!
Anashabikia siasa badala ya kufocus kwenye mpira