Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zbc 2 ndiyo nina uhakika iko Azam TVNasikia Chanel ya supersport 4 itaonesha hii game live,ni ya kweli hayaa,??
Kwasisi tunaotumia Dstv hii game tuna iangalizia wapii Mkuu,??Zbc 2 ndiyo nina uhakika iko Azam TV
Kweli hili kundi simba ni underdogs haswa. Js Soura pamoja na kwamba wamafungwa na Vita huko kinshasa dk ya 90 ni 2-1, ila Vita watalala na viatu ni ishara kuwa simba akienda kwa waarab kuna kapu la magoli lingine.Bado takribani sa 1:30 mtanange kati ya Al Ahly(Misri) na Simba (Tanzania) upigwe.
Utapata live update ,ikihusisha matukio yote ya mechi hii.
Mechi itaanza sa 4 kamili usiku kwa saa za Africa mashariki.
Waarabu wanazidi kumiminika uwanjani,ingawa sura chache nyeusi zinaonekana zikiingia uwanjani.
Leo lazima mwarabu apigwe,hakuna namna.
Mimi simba ila tuweke uhalisia, simba haiwezi ifunga al ahly, hata droo. Leo tuepuke aibu tusipigwe zaidi ya mkono.Utaifa mbele .... kwa Mara ya kwanza
Ahly italizwa kwao na mbele ya halaiki ya waMisri !!
SIMBA. Nakuombea Dua'a ushinde!!
Eheeee makubwaAs vita 2 - 2 JS Soura, dk za nyongeza. Soura wamechomoa.
Mie kama ex-player na Amini Mpira na mechi haitabiriki hadi kipenga cha tamamti......✔️Mimi simba ila tuweke uhalisia, simba haiwezi ifunga al ahly, hata droo. Leo tuepuke aibu tusipigwe zaidi ya mkono.
Ukicheza kwa reference nami nitakuuliza mbona walipokuja Taifa hawakutulaza na viatu km ambavyo wanacheza uko ugenini vs As vitaKweli hili kundi simba ni underdogs haswa. Js Soura pamoja na kwamba wamafungwa na Vita huko kinshasa dk ya 90 ni 2-1, ila Vita watalala na viatu ni ishara kuwa simba akienda kwa waarab kuna kapu la magoli lingine.
Js soura wameshapata point yao ya ugenini ingawa walidroo na ahly kwao ila wana nafasi kubwa kuwa wa pili maana chances ni kubwa mechi 2 za vita na simba kwao wanaweza shinda kwa goli nzuri tu. Hawa waarab sio wabaya kama watu walivyodhani.Eheeee makubwa
Unaweza sema simba walikuwa on form na wao walikuwa off form, the table has been flipped unfortunately at a very crucial time.Ukicheza kwa reference nami nitakuuliza mbona walipokuja Taifa hawakutulaza na viatu km ambavyo wanacheza uko ugenini vs As vita
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kweli nimeshangaaJs soura wameshapata point yao ya ugenini ingawa walidroo na ahly kwao ila wana nafasi kubwa kuwa wa pili maana chances ni kubwa mechi 2 za vita na simba kwao wanaweza shinda kwa goli nzuri tu. Hawa waarab sio wabaya kama watu walivyodhani.