Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yani hapa anaona mechi ikiisha Yanga mnakabidhiwa ubingwa wa Klabu Bingwa Afrika maana sio kwa jinsi nmavyoshadadia.
Hahahaha, sitaki lawama ,mtafute mwenyewe Mkuu, Leo hasa muda huu sio mzuri kwa shangazi ShunieTafadhali ukimuona Shunie naomba unitaarifu. Kuna ishu moja ya dharula sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Am here my, simba sio baba yangu wala mama yangu......[emoji13][emoji13][emoji13]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee baba na wewe ni frog [emoji196]
[emoji38] [emoji38] pole[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yani hapa anaona mechi ikiisha Yanga mnakabidhiwa ubingwa wa Klabu Bingwa Afrika maana sio kwa jinsi nmavyoshadadia.
Hapo umecheka au umelia......ahahahahaThis is simbaaaaaaaaaa bwana ..hohohooo hoooooo ..hiiiiiiiii hiiiiiiii hiiiiiiiiiii hahaaaa haaaaaa Greece heeeeee huuuuuhuuuuu huuuuuuu bwaaaaa hahaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku yanapangwa makundi kuna watu niliwambia hili wakabishaHakika Usajili wa Klabu ya Simba sio wa Mashindano Makubwa kama haya ya Klabu Bingwa Afrika.Kama kweli Mwekezaji wa Klabu ya Simba Mohamed Dewji anataka Klabu yake ifanye vizuri basi sio kwa Wachezaji hawa.Kwa walioangalia mchezo wa Simba na Al hary atakubaliana nami kuwa Safu ya ulinzi wa timu hiyo ni mbovu kabisa .Wachezaji hawa kwa uwezo wao ni kwa Local Matches za ndani kwa maana ya Ligi Kuu , uwezo wao ni wa kucheza na Yanga, Ndanda na Stend United.Naushauri Uongozi wa Simba ifanye mabadiliko makubwa kwa wachezaji wake itafute wachezaji wenye uzoevu mkubwa na pia Kocha mkuu nae naona uwezo wake umefika mwisho.Mwisho namshauri Mtaani wetu kwa kuwa mwaka 2019 yeye ndio Bingwa basi ajipange vilivyo kwani wachezaji kama Boban Fey Toto hamna kitu kwa Mashindano haya ni magumu sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sema simba ikitoka nje imeshakula 5Kwani jamani timu zetu zikitokaga nje huwa zinakuaje wanalishwa nini huko? Huwa sielewagi kabisa
[emoji36][emoji36][emoji36][emoji36]