Mtandao gani una vifurushi vizuri vya intaneti vya usiku?

Mtandao gani una vifurushi vizuri vya intaneti vya usiku?

SHABANI MUSHI

Member
Joined
Apr 28, 2018
Posts
74
Reaction score
82
Samahanini Ndugu wana JF poleni kwanza na majukumu ya siku.

Nilikua nina swali au ombi lakujuzwa ni mtandao upi kwa sasa unaweza kujiunga bando la usiku, kiukweli Mimi ni mpenzi wa Movies and series nimekua napata shida saana ya kupata VIFURUSHI kwa ajili ya kupakua, hapo zamani nilikua natumia Airtel lakini kwa sasa wameitoa hiyo ofa ilikua 1500 unapewa 10 GB.

Ombi: Yeyote mwenye utaalam upande wa kupata VIFURUSHI kama hivyo anijuze ni wapi/ mtandao upi napata
 
Vifurushi vya Usiku wamevitoa (wameviondoa) ili muwe mnalala na kupata muda mzuri pia wa 'Kuwashughulikia' vilivyo Vitandani Wake zenu wapate Mimba na muweze Kuongeza Nguvu Kazi inayotakiwa katika Kuujenga Uchumi wa Tanzania.
 
Vifurushi vya Usiku wamevitoa (wameviondoa) ili muwe mnalala na kupata muda mzuri pia wa 'Kuwashughulikia' vilivyo Vitandani Wake zenu wapate Mimba na muweze Kuongeza Nguvu Kazi inayotakiwa katika Kuujenga Uchumi wa Tanzania.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dah... Umenifanya nimecheka hatari mzee[emoji23][emoji23]!!! Shukrani saana kwa taarafa mkee
 
Right now natumia halotel GB5 kwa 1500.

Kabla ilikuwa 1500 kwa unlimited now wameondoa baada ya yule kil*za kutaka kupanga vifurushi.
Asanteee saana kaka ngoja niwachek hawa jamaa...sema mtandao Wao ni kobe
 
Airtel gani unatumia wewe mbona kwangu ipo?

Screenshot_20210528-103331_Phone.jpg
 
Vifurushi vya Usiku wamevitoa (wameviondoa) ili muwe mnalala na kupata muda mzuri pia wa 'Kuwashughulikia' vilivyo Vitandani Wake zenu wapate Mimba na muweze Kuongeza Nguvu Kazi inayotakiwa katika Kuujenga Uchumi wa Tanzania.
Banned after comment
 
Vifurushi vya Usiku wamevitoa (wameviondoa) ili muwe mnalala na kupata muda mzuri pia wa 'Kuwashughulikia' vilivyo Vitandani Wake zenu wapate Mimba na muweze Kuongeza Nguvu Kazi inayotakiwa katika Kuujenga Uchumi wa Tanzania.
Jitu la hovyo kabisa wewe. Mtu unaweza kudhani kuna mtu wa maana kumbe takataka. Unajidhalilisha ukumbini.
 
Ila mitandao mingine yote kasoro ttcl ndio sijajaribu ..yote inasoma 4G
 
Back
Top Bottom