SHABANI MUSHI
Member
- Apr 28, 2018
- 74
- 82
Hii sasa kaliVifurushi vya Usiku wamevitoa ( wameviondoa ) ili muwe mnalala na kupata muda mzuri pia wa ' Kuwashughulikia ' vilivyo Vitandani Wake zenu wapate Mimba na muweze Kuongeza Nguvu Kazi inayotakiwa katika Kuujenga Uchumi wa Tanzania.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dah... Umenifanya nimecheka hatari mzee[emoji23][emoji23]!!! Shukrani saana kwa taarafa mkeeVifurushi vya Usiku wamevitoa (wameviondoa) ili muwe mnalala na kupata muda mzuri pia wa 'Kuwashughulikia' vilivyo Vitandani Wake zenu wapate Mimba na muweze Kuongeza Nguvu Kazi inayotakiwa katika Kuujenga Uchumi wa Tanzania.
Asanteee saana kaka ngoja niwachek hawa jamaa...sema mtandao Wao ni kobeRight now natumia halotel GB5 kwa 1500.
Kabla ilikuwa 1500 kwa unlimited now wameondoa baada ya yule kil*za kutaka kupanga vifurushi.
Shukrani saana kaka!!Huwa ninadaka daka wifi alafu ninaitumia ipasavyoNaona washatudaka waka mute kidogo.
Cha msingi tafuta ilipo WiFi uconnect ndio uteleze
tumia simu yenye 4g afu ulete majibu, mimi ndani ya masaa 2 gb 5 yote ishaisha na movie 5 juuAsanteee saana kaka ngoja niwachek hawa jamaa...sema mtandao Wao ni kobe
Huwa ninatumia simu yenye 4G ila labda maeneo yangu Ndio mtandao wao uko slow mkuutumia simu yenye 4g afu ulete majibu, mimi ndani ya masaa 2 gb 5 yote ishaisha na movie 5 juu
Shukrani saana mkuuHalotel
Banned after commentVifurushi vya Usiku wamevitoa (wameviondoa) ili muwe mnalala na kupata muda mzuri pia wa 'Kuwashughulikia' vilivyo Vitandani Wake zenu wapate Mimba na muweze Kuongeza Nguvu Kazi inayotakiwa katika Kuujenga Uchumi wa Tanzania.
Jitu la hovyo kabisa wewe. Mtu unaweza kudhani kuna mtu wa maana kumbe takataka. Unajidhalilisha ukumbini.Vifurushi vya Usiku wamevitoa (wameviondoa) ili muwe mnalala na kupata muda mzuri pia wa 'Kuwashughulikia' vilivyo Vitandani Wake zenu wapate Mimba na muweze Kuongeza Nguvu Kazi inayotakiwa katika Kuujenga Uchumi wa Tanzania.
run test speed angalia inasomaje, inatakiwa isiwe chini ya 2mbpsHuwa ninatumia simu yenye 4G ila labda maeneo yangu Ndio mtandao wao uko slow mkuu
Huwa ninatumia simu yenye 4G ila labda maeneo yangu Ndio mtandao wao uko slow mkuu
Basi sawa ngoja nijefanya hii kitu,,, ila kitu kingine hapa nilipo hiyo halotel haifungui 4g yenyewe inasoma H+ turun test speed angalia inasomaje, inatakiwa isiwe chini ya 2mbps
Wakupige life ban tuu🤣Vifurushi vya Usiku wamevitoa (wameviondoa) ili muwe mnalala na kupata muda mzuri pia wa 'Kuwashughulikia' vilivyo Vitandani Wake zenu wapate Mimba na muweze Kuongeza Nguvu Kazi inayotakiwa katika Kuujenga Uchumi wa Tanzania.