Financial Analyst
JF-Expert Member
- Nov 27, 2017
- 1,849
- 3,506
kuna wakati nilikuwa nikipata halotel gb 10 kuanzia saa sita hadi saa kumi na mbili, ila naona wanazingua siku hizi, ni mtandao upi wenye huduma kama hii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
duh kwa hyo kwa sasa hamna?Nadhani tusubirie huenda ukaja mtandao mpya wa hivyo
hakunaduh kwa hyo kwa sasa hamna?
Subiri mtandao mpya wa Azam mkuu.duh kwa hyo kwa sasa hamna?
ok mkuu,Subiri mtandao mpya wa Azam mkuu.