Uchaguzi 2020 Mtandao Hatari wa Bernard Membe Wamejipanga Kunyakuwa Viti Vya Ubunge Mtwara

Uchaguzi 2020 Mtandao Hatari wa Bernard Membe Wamejipanga Kunyakuwa Viti Vya Ubunge Mtwara

Muuza Mkaa

New Member
Joined
Feb 3, 2020
Posts
1
Reaction score
7
Mtandao huo unaongozwa na Mbunge wa Zamani Mtwara Mjini Bwana Asnain Murj, ambaye anataka kumrithisha Kijana wake Kugombea Ubunge Mtwara Mjini aitwaye Shayd ambaye pia ni Mjumbe Kamati ya Siasa.

Pia Katika Mtandao huo yupo Saidi Mtanda atakayegombea Jimbo la Mh Chikota Nanyamba. Nasibu Kanduru Newala Mjini jimboni kwa Mh Mkuchika.

Yahya Nawanda Huyu alikuwa DC Yeye Newala Vijijini Asnain Murj ambaye anataka Jimbo la Ndada.
Idrissa Nannila ambaye anataka Jimbo la Tandahimba.

Matipula DAS Babati naye amepangwa Kugombea Ubunge Jimbo la Nanyumbu. Nguyahambi Mustapha Jimbo la Masasi.

Kama Kawaida nitaleta taarifa za Vikao vinavyofanyika Mtama na Mtwara

Team Membe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Muuza Mkaa
Uchaguzi filimbi bado haijapigwa mumeshaunda tayari kamati ya fitna na majungu .Wewe mleta maana ndio mwenyekiti wa hiyo kamati hiyo ya fitna na majungu
 
Mtandao huo unaongozwa na Mbunge wa Zamani Mtwara Mjini Bwana Asnain Murj, ambaye anataka kumrithisha Kijana wake Kugombea Ubunge Mtwara Mjini aitwaye Shayd ambaye pia ni Mjumbe Kamati ya Siasa.

Pia Katika Mtandao huo yupo Saidi Mtanda atakayegombea Jimbo la Mh Chikota Nanyamba. Nasibu Kanduru Newala Mjini jimboni kwa Mh Mkuchika.

Yahya Nawanda Huyu alikuwa DC Yeye Newala Vijijini Asnain Murj ambaye anataka Jimbo la Ndada.
Idrissa Nannila ambaye anataka Jimbo la Tandahimba.

Matipula DAS Babati naye amepangwa Kugombea Ubunge Jimbo la Nanyumbu. Nguyahambi Mustapha Jimbo la Masasi.

Kama Kawaida nitaleta taarifa za Vikao vinavyofanyika Mtama na Mtwara

Team Membe

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi sioni tatizo hapo km ni mtandao wa CCM unataka kushinda lazima kuwe na mkakati wa ushindi na mbinu za kuupata huo ushindi mradi usivunje sheria .kulindana na kushikana mkono na unfiki ni tabia ambazo zitaondolewa kwenye katiba mpya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtandao huo unaongozwa na Mbunge wa Zamani Mtwara Mjini Bwana Asnain Murj, ambaye anataka kumrithisha Kijana wake Kugombea Ubunge Mtwara Mjini aitwaye Shayd ambaye pia ni Mjumbe Kamati ya Siasa.

Pia Katika Mtandao huo yupo Saidi Mtanda atakayegombea Jimbo la Mh Chikota Nanyamba. Nasibu Kanduru Newala Mjini jimboni kwa Mh Mkuchika.

Yahya Nawanda Huyu alikuwa DC Yeye Newala Vijijini Asnain Murj ambaye anataka Jimbo la Ndada.
Idrissa Nannila ambaye anataka Jimbo la Tandahimba.

Matipula DAS Babati naye amepangwa Kugombea Ubunge Jimbo la Nanyumbu. Nguyahambi Mustapha Jimbo la Masasi.

Kama Kawaida nitaleta taarifa za Vikao vinavyofanyika Mtama na Mtwara

Team Membe
Sent using Jamii Forums mobile app
As long as ni kupitia CCM, na kama wanauwezo, na wanakubalika, hakuna ubaya.
Bunge lijalo ni la CCM and CCM only.
P
 
Kama ni kwa njia halali hakuna ubaya!!
Mtandao huo unaongozwa na Mbunge wa Zamani Mtwara Mjini Bwana Asnain Murj, ambaye anataka kumrithisha Kijana wake Kugombea Ubunge Mtwara Mjini aitwaye Shayd ambaye pia ni Mjumbe Kamati ya Siasa.

Pia Katika Mtandao huo yupo Saidi Mtanda atakayegombea Jimbo la Mh Chikota Nanyamba. Nasibu Kanduru Newala Mjini jimboni kwa Mh Mkuchika.

Yahya Nawanda Huyu alikuwa DC Yeye Newala Vijijini Asnain Murj ambaye anataka Jimbo la Ndada.
Idrissa Nannila ambaye anataka Jimbo la Tandahimba.

Matipula DAS Babati naye amepangwa Kugombea Ubunge Jimbo la Nanyumbu. Nguyahambi Mustapha Jimbo la Masasi.

Kama Kawaida nitaleta taarifa za Vikao vinavyofanyika Mtama na Mtwara

Team Membe

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtandao huo unaongozwa na Mbunge wa Zamani Mtwara Mjini Bwana Asnain Murj, ambaye anataka kumrithisha Kijana wake Kugombea Ubunge Mtwara Mjini aitwaye Shayd ambaye pia ni Mjumbe Kamati ya Siasa.

Pia Katika Mtandao huo yupo Saidi Mtanda atakayegombea Jimbo la Mh Chikota Nanyamba. Nasibu Kanduru Newala Mjini jimboni kwa Mh Mkuchika.

Yahya Nawanda Huyu alikuwa DC Yeye Newala Vijijini Asnain Murj ambaye anataka Jimbo la Ndada.
Idrissa Nannila ambaye anataka Jimbo la Tandahimba.

Matipula DAS Babati naye amepangwa Kugombea Ubunge Jimbo la Nanyumbu. Nguyahambi Mustapha Jimbo la Masasi.

Kama Kawaida nitaleta taarifa za Vikao vinavyofanyika Mtama na Mtwara

Team Membe

Sent using Jamii Forums mobile app
Usiharibie vijana wa watu ili kwenye daftari wakatwe huo ni wivu kwani huyo membe chamani si mwanachama kawaida?
 
Back
Top Bottom