Uchaguzi 2020 Mtandao Hatari wa Bernard Membe Wamejipanga Kunyakuwa Viti Vya Ubunge Mtwara

Uchaguzi 2020 Mtandao Hatari wa Bernard Membe Wamejipanga Kunyakuwa Viti Vya Ubunge Mtwara

Mkuu Mbase, sio issue ya kupenda, it's a fact,
naukweli wenyewe ni huu
P
Ukweli gani Mayalla? Halafu unaleta bandiko lako kama uthibitisho ama hukuelewa swali langu? Nilitaka maoni yako kama ungependa bunge la chama kimoja wakati wa Magufuli adiyependa kukosolewa zaidi ya kusifiwa?
 
Ila wahakikishe hakuna kuiba Kura yakatokea ya Malawi
Duh Mkuu Britanicca hata wewe?!, mambo kama ya Malawi, hayawezi kutokea hapa kwetu, kule kuna uhuru wa mahakama, hapa kwetu kwenye uchaguzi wa rais, NEC ni alfa na omega, matokeo yakiishatangwa ni final and conclusive, no one can do anything more.
P
 
Ukweli gani Mayalla? Halafu unaleta bandiko lako kama uthibitisho ama hukuelewa swali langu? Nilitaka maoni yako kama ungependa bunge la chama kimoja wakati wa Magufuli adiyependa kukosolewa zaidi ya kusifiwa?
Jibu langu ni lile lile, hoja ya Bunge lijalo kuwa ni la chama kimoja, sio issue ya mtu kupenda au kutopenda, hii ni issue ya fact, hakuna cha kupenda au kutopenda bali ndicho kinachokwenda kutokea.
Utangulizi tumeuona kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, ni kufuatia Magufuli kukubalika sana

P
 
Mkuu Mbase, sio issue ya kupenda, it's a fact,
naukweli wenyewe ni huu
P
Ukweli wa Biashara ya utumwa na biashara ya Vitisho nao waujua?.
Vipi kuhusu chama fulani kujimilikisha haki na kuwazuia wengine kujitangaza kama wafanyavyo wao?,
Hao wanaojifanya wameona mbali,USHETANI Huo nao wameuona?. Ama wao wanaona VIRIBATUMBO vyao vya siku zijazo....., Na hawaoni matabaka yaletwayo na UFIRAHUNI uliokithiri?.
 
Akishinda membe au mrandao wake maana yake imeshinda ccm ye ye sheria na kanuni zile zile tunazozipigia kelele leo hii.
Upinzani achen ufala na kulala mkidhani akishinda membe mtapata chochote Noo.
Pambaneni kwa akil na hoja kuiondoa ccm madarakani.

Upinzani wetu si dhidi ya membe wala magufuli bali ni dhidi ya ccm inayompa mamlaka yeyote yule atakayeshinda kupitia hiyo atawale.

Narudia tena dhana ya upinzani sio kumkataa magufuli wala kumtaka membe.bali ni kuiondosha ccm iliyotawala miaka zaid ya 60 sasa.

ACHENI UPUMBAVU VYAMA M BADALA
 
Back
Top Bottom