Uchaguzi 2020 Mtandao Hatari wa Bernard Membe Wamejipanga Kunyakuwa Viti Vya Ubunge Mtwara

Uchaguzi 2020 Mtandao Hatari wa Bernard Membe Wamejipanga Kunyakuwa Viti Vya Ubunge Mtwara

Mtandao huo unaongozwa na Mbunge wa Zamani Mtwara Mjini Bwana Asnain Murj, ambaye anataka kumrithisha Kijana wake Kugombea Ubunge Mtwara Mjini aitwaye Shayd ambaye pia ni Mjumbe Kamati ya Siasa.

Pia Katika Mtandao huo yupo Saidi Mtanda atakayegombea Jimbo la Mh Chikota Nanyamba. Nasibu Kanduru Newala Mjini jimboni kwa Mh Mkuchika.

Yahya Nawanda Huyu alikuwa DC Yeye Newala Vijijini Asnain Murj ambaye anataka Jimbo la Ndada.
Idrissa Nannila ambaye anataka Jimbo la Tandahimba.

Matipula DAS Babati naye amepangwa Kugombea Ubunge Jimbo la Nanyumbu. Nguyahambi Mustapha Jimbo la Masasi.

Kama Kawaida nitaleta taarifa za Vikao vinavyofanyika Mtama na Mtwara

Team Membe

Sent using Jamii Forums mobile app
Muuza Mkaa,
Wewe ni Haji Mnasi DED wa ILEJE ambaye utendaji wako umekuwa wa mashakamashaka sana kwani kila mtu wa hapo Ileje anajua namna utendaji wako upo chini kabisa tena wakiwango cha mtu cha chini kabisa.

Nenda kapambane jimboni haya mambo ya kuchafua watu hayakusaidii bali unazidi kujiharibia. Nchi hii itaongozwa na JPM hadi 2025 hakuna ubishi katika hilo sasa Membe anatokea wapi?

Wewe tunataarifa zako nyingi ambazo wakuu wa idara wamekubali kuzitoa nasi tutaanza kuziweka hapa Jamvini week ijayo tena kwa ushahidi na zile case zako zilizopo Takukuru tutaziweka moja baada ya nyingine.

Kazi imeanza rasmi..... Usikimbe
 
Muuza Mkaa,
Wewe ni Haji Mnasi DED wa ILEJE ambaye utendaji wako umekuwa wa mashakamashaka sana kwani kila mtu wa hapo Ileje anajua namna utendaji wako upo chini kabisa tena wakiwango cha mtu cha chini kabisa.

Nenda kapambane jimboni haya mambo ya kuchafua watu hayakusaidii bali unazidi kujiharibia. Nchi hii itaongozwa na JPM hadi 2025 hakuna ubishi katika hilo sasa Membe anatokea wapi?

Wewe tunataarifa zako nyingi ambazo wakuu wa idara wamekubali kuzitoa nasi tutaanza kuziweka hapa Jamvini week ijayo tena kwa ushahidi na zile case zako zilizopo Takukuru tutaziweka moja baada ya nyingine.

Kazi imeanza rasmi..... Usikimbe
Huyu jamaà hapa halimashauri hawamtaki ntakupa na ushaidi mwingine juu ya kisa alichomfanyinyia yule.mwl
 
Muuza Mkaa,
Wewe ni Haji Mnasi DED wa ILEJE ambaye utendaji wako umekuwa wa mashakamashaka sana kwani kila mtu wa hapo Ileje anajua namna utendaji wako upo chini kabisa tena wakiwango cha mtu cha chini kabisa.

Nenda kapambane jimboni haya mambo ya kuchafua watu hayakusaidii bali unazidi kujiharibia. Nchi hii itaongozwa na JPM hadi 2025 hakuna ubishi katika hilo sasa Membe anatokea wapi?

Wewe tunataarifa zako nyingi ambazo wakuu wa idara wamekubali kuzitoa nasi tutaanza kuziweka hapa Jamvini week ijayo tena kwa ushahidi na zile case zako zilizopo Takukuru tutaziweka moja baada ya nyingine.

Kazi imeanza rasmi..... Usikimbe
Duuh!
Jamaa kama ndio mwenyewe atakimbia nduki nduki.

Kama si yeye utakuwa umemshambulia mtu mwingine bila sababu utaaika maadui wengi.
 
Mtandao huo unaongozwa na Mbunge wa Zamani Mtwara Mjini Bwana Asnain Murj, ambaye anataka kumrithisha Kijana wake Kugombea Ubunge Mtwara Mjini aitwaye Shayd ambaye pia ni Mjumbe Kamati ya Siasa.

Pia Katika Mtandao huo yupo Saidi Mtanda atakayegombea Jimbo la Mh Chikota Nanyamba. Nasibu Kanduru Newala Mjini jimboni kwa Mh Mkuchika.

Yahya Nawanda Huyu alikuwa DC Yeye Newala Vijijini Asnain Murj ambaye anataka Jimbo la Ndada.
Idrissa Nannila ambaye anataka Jimbo la Tandahimba.

Matipula DAS Babati naye amepangwa Kugombea Ubunge Jimbo la Nanyumbu. Nguyahambi Mustapha Jimbo la Masasi.

Kama Kawaida nitaleta taarifa za Vikao vinavyofanyika Mtama na Mtwara

Team Membe

Sent using Jamii Forums mobile app

Wewe umepangwa kugombea jimbo lipi?

Hivi ni laana kwa mtu yeyote anayekuwa kinyume na matakwa ya serikali kuonekana kama msaliti hadi hapa wanaitwa mtandao hatari?
 
Muuza Mkaa,
Wewe ni Haji Mnasi DED wa ILEJE ambaye utendaji wako umekuwa wa mashakamashaka sana kwani kila mtu wa hapo Ileje anajua namna utendaji wako upo chini kabisa tena wakiwango cha mtu cha chini kabisa.

Nenda kapambane jimboni haya mambo ya kuchafua watu hayakusaidii bali unazidi kujiharibia. Nchi hii itaongozwa na JPM hadi 2025 hakuna ubishi katika hilo sasa Membe anatokea wapi?

Wewe tunataarifa zako nyingi ambazo wakuu wa idara wamekubali kuzitoa nasi tutaanza kuziweka hapa Jamvini week ijayo tena kwa ushahidi na zile case zako zilizopo Takukuru tutaziweka moja baada ya nyingine.

Kazi imeanza rasmi..... Usikimbe
Anahonga vijana flani hivi wa Kitangali ili wamchafue ndg Nawanda. mmoja wapo ni mtoto wa Nankame.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uchaguzi filimbi bado haijapigwa mumeshaunda tayari kamati ya fitna na majungu .Wewe mleta maana ndio mwenyekiti wa hiyo kamati hiyo ya fitna na majungu
Vipi mzee mbona POVU, JASHO, USHUZI na Vijambo vya hapa na pale KULIKONI?
 
Mayalla unapenda bunge la chama kimoja? Unaviona vilio vya marekani?
Mkuu Mbase, sio issue ya kupenda, it's a fact,
naukweli wenyewe ni huu
P
 
Back
Top Bottom