Mtandao wa African Soccer wamuita Haji Manara "Makerting genius"

Mtandao wa African Soccer wamuita Haji Manara "Makerting genius"

Nyie jamaa ni mbumbumbu. Hata jamiiforums accòunts zake katika social networks zote zipo verified, huo mtandao gani maosema nyie page/acc hazipo verified

Eti mtandao mkubwaa nyooooo
Vyura bana, matope yamewaathiri sana. Hivi msemaji wenu ni nani vile? Hebu rudi bwawani hapa c mahali pako!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 1050071
Nyota ya Haji Manara afisa habari wa Simba SC imezidi kung'ara siku hadi siku.

Mtandao wa kijamii mkubwa na maarufu barani Afrika umemuita Haji Marketing genius.

Tunakubaliana sote kazi ya ziada anayoifanya Haji katika hamasa. Msimu uliopita alichukua tuzo ya mtu aliyeongoza kutia hamasa klabuni. Nyomi za mechi ya Nkana na hata AS Vita ina mkono wa Haji kwa namna moja au nyingine.

Tuwe na utamaduni wa kupongeza watu wakiwa hai badala ya kusubiri mpaka afariki. Hongera sana Haji,huwa nikikuona wewe najisikia kuiona Simba.
Akiambiwa aibrand kwa kimombo ndio ububu utaamzia hapo.
 
Nataka mkatajwe nyie mambumbumbu
We prince mazembe najaribu kuangalia majibu ya nyuzi zako najinsi ulivyo kichwa kinapata shida maneno mengi ni yakina dada mpira wa kiume ni 90 minutes.Japo utani wa vilabu ila cjawah shabikia timu ya nje waifunge yanga,mwakani club bingwa mnacheza kama sio mwaka huu mwishon.uwe na akiba na maneno yasije yakakukuta ya alieweka mke ki ushabiki.
Mazembe timu kubwa lakini huwezi kumwambia mwanaume mwenzio ntakupiga lazima mpambane
Note.Jogoo hafi kwa utitiri ata siku moja
Simba Nguvu moko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We prince mazembe najaribu kuangalia majibu ya nyuzi zako najinsi ulivyo kichwa kinapata shida maneno mengi ni yakina dada mpira wa kiume ni 90 minutes.Japo utani wa vilabu ila cjawah shabikia timu ya nje waifunge yanga,mwakani club bingwa mnacheza kama sio mwaka huu mwishon.uwe na akiba na maneno yasije yakakukuta ya alieweka mke ki ushabiki.
Mazembe timu kubwa lakini huwezi kumwambia mwanaume mwenzio ntakupiga lazima mpambane
Note.Jogoo hafi kwa utitiri ata siku moja
Simba Nguvu moko

Sent using Jamii Forums mobile app
Basi tulia hapô hapo umalize hizo dakika 90 tuache sisi tuendelee na utani wêtu wa jadi
 
We utakuwa Timu ya Mzee Yahaya Akilimali
Na kuongezea kapicha ka mzee mwenyewe [emoji23][emoji23]
IMG-20190315-WA0006.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Exactly, huwa nasema mara zote kwamba Marketing ndo kitengo kikubwa ambacho Manara anakitendea haki.

Anastahili.
 
View attachment 1050071
Nyota ya Haji Manara afisa habari wa Simba SC imezidi kung'ara siku hadi siku.

Mtandao wa kijamii mkubwa na maarufu barani Afrika umemuita Haji Marketing genius.

Tunakubaliana sote kazi ya ziada anayoifanya Haji katika hamasa. Msimu uliopita alichukua tuzo ya mtu aliyeongoza kutia hamasa klabuni. Nyomi za mechi ya Nkana na hata AS Vita ina mkono wa Haji kwa namna moja au nyingine.

Tuwe na utamaduni wa kupongeza watu wakiwa hai badala ya kusubiri mpaka afariki. Hongera sana Haji,huwa nikikuona wewe najisikia kuiona Simba.

Watu kama nyie ndio mnatafutwa kwa kuleta au kusambaza habari za uongo mitandaoni...kama umesambaza uongo kama huu inawezekana hata mambo mazito ya kisiasa huwa mnasambaza
 
Watu kama nyie ndio mnatafutwa kwa kuleta au kusambaza habari za uongo mitandaoni...kama umesambaza uongo kama huu inawezekana hata mambo mazito ya kisiasa huwa mnasambaza
Ungefanya simple search tu,ingia huo mtandao twita huna haja ya kumwaga povu
 
Back
Top Bottom