Vyura bana, matope yamewaathiri sana. Hivi msemaji wenu ni nani vile? Hebu rudi bwawani hapa c mahali pako!Nyie jamaa ni mbumbumbu. Hata jamiiforums accòunts zake katika social networks zote zipo verified, huo mtandao gani maosema nyie page/acc hazipo verified
Eti mtandao mkubwaa nyooooo
Mbumbumbu kazi mnayooo safari hii timu itatoa kafara kubwa ya mabumbumbu wakeVyura bana, matope yamewaathiri sana. Hivi msemaji wenu ni nani vile? Hebu rudi bwawani hapa c mahali pako!
Sent using Jamii Forums mobile app
Unataka atajwe Akilimali ndo uamini??Mnajitekenya kisha mnacheka wenyewe
Eti mtandao mkubwa, bila hata aibu yaani page/account haipo hata verified
Hakika huu ni umbumbumbu
Nataka mkatajwe nyie mambumbumbu
Akiambiwa aibrand kwa kimombo ndio ububu utaamzia hapo.View attachment 1050071
Nyota ya Haji Manara afisa habari wa Simba SC imezidi kung'ara siku hadi siku.
Mtandao wa kijamii mkubwa na maarufu barani Afrika umemuita Haji Marketing genius.
Tunakubaliana sote kazi ya ziada anayoifanya Haji katika hamasa. Msimu uliopita alichukua tuzo ya mtu aliyeongoza kutia hamasa klabuni. Nyomi za mechi ya Nkana na hata AS Vita ina mkono wa Haji kwa namna moja au nyingine.
Tuwe na utamaduni wa kupongeza watu wakiwa hai badala ya kusubiri mpaka afariki. Hongera sana Haji,huwa nikikuona wewe najisikia kuiona Simba.
Kwani sisi Wazungu Pumbavu ZakoAkiambiwa aibrand kwa kimombo ndio ububu utaamzia hapo.
We prince mazembe najaribu kuangalia majibu ya nyuzi zako najinsi ulivyo kichwa kinapata shida maneno mengi ni yakina dada mpira wa kiume ni 90 minutes.Japo utani wa vilabu ila cjawah shabikia timu ya nje waifunge yanga,mwakani club bingwa mnacheza kama sio mwaka huu mwishon.uwe na akiba na maneno yasije yakakukuta ya alieweka mke ki ushabiki.Nataka mkatajwe nyie mambumbumbu
Basi tulia hapô hapo umalize hizo dakika 90 tuache sisi tuendelee na utani wêtu wa jadiWe prince mazembe najaribu kuangalia majibu ya nyuzi zako najinsi ulivyo kichwa kinapata shida maneno mengi ni yakina dada mpira wa kiume ni 90 minutes.Japo utani wa vilabu ila cjawah shabikia timu ya nje waifunge yanga,mwakani club bingwa mnacheza kama sio mwaka huu mwishon.uwe na akiba na maneno yasije yakakukuta ya alieweka mke ki ushabiki.
Mazembe timu kubwa lakini huwezi kumwambia mwanaume mwenzio ntakupiga lazima mpambane
Note.Jogoo hafi kwa utitiri ata siku moja
Simba Nguvu moko
Sent using Jamii Forums mobile app
Na kuongezea kapicha ka mzee mwenyewe [emoji23][emoji23]We utakuwa Timu ya Mzee Yahaya Akilimali
Mahaba yamemzidi jamaa.Mnajitekenya kisha mnacheka wenyewe
Eti mtandao mkubwa, bila hata aibu yaani page/account haipo hata verified
Hakika huu ni umbumbumbu
😀😀😀 hizo pushups ni aina ya 'dive bomb' nini!!!Na kuongezea kapicha ka mzee mwenyewe [emoji23][emoji23]View attachment 1050112
Sent using Jamii Forums mobile app
lakini kazi yake waionaje?Mnajitekenya kisha mnacheka wenyewe
Eti mtandao mkubwa, bila hata aibu yaani page/account haipo hata verified
Hakika huu ni umbumbumbu
View attachment 1050071
Nyota ya Haji Manara afisa habari wa Simba SC imezidi kung'ara siku hadi siku.
Mtandao wa kijamii mkubwa na maarufu barani Afrika umemuita Haji Marketing genius.
Tunakubaliana sote kazi ya ziada anayoifanya Haji katika hamasa. Msimu uliopita alichukua tuzo ya mtu aliyeongoza kutia hamasa klabuni. Nyomi za mechi ya Nkana na hata AS Vita ina mkono wa Haji kwa namna moja au nyingine.
Tuwe na utamaduni wa kupongeza watu wakiwa hai badala ya kusubiri mpaka afariki. Hongera sana Haji,huwa nikikuona wewe najisikia kuiona Simba.
Ungefanya simple search tu,ingia huo mtandao twita huna haja ya kumwaga povuWatu kama nyie ndio mnatafutwa kwa kuleta au kusambaza habari za uongo mitandaoni...kama umesambaza uongo kama huu inawezekana hata mambo mazito ya kisiasa huwa mnasambaza