Mtandao wa Badoo

***
UNATAKA KUTULETEA MAMBO YA NORTH KOREA HAPA. FAIL FAIL FAIL /
 
Acha kuvungaa hapa... Mi mwenyewe nakutaka sasaa. .. hata watu wote waishe sikutakii ng'ooo hata nikiambiwa naugonjwa nikifanya na wewe ntapona sitakiii acha nikufee tu.
teh teh teh
mbona unafunguka sana hata maswali ambayo hujaulizwa?? au umeizimia avartar??

Kuna uzi umewekwahumu ndani unasema eti mwanamke akikutaka huwa anazungumza kinyume nyume, mfano akitaka umgegede atasema "mi sitaki kabisa unigegede".
Ngoja niulete huo uzi hapa, mwenzio Mchumba alianza hivi hivi
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kweendraaa mi siko kinyume namaanisha. Sikutaki hata kwa pesa sembuse buree. .
 

!
! Anko hebu nifundishe kuchati basi. Mzigo nshaudaunload ila mi naona mapichapicha tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…