Wernery G Kapinga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 376
- 127
Bila shaka mpo vizuri
Tarehe 15 nililipia king'amuzi kupitia mtandao wa Halotel. Cha ajabu sikurudishiwa ujumbe na pesa kwenye account imeondolewa.
Nikapiga simu huduma kwa wateja. Wa kwanza akaniambia system iko chini kwa hiyo itakuwa accessed baada ya muda wa dk 20 mpaka 30. Siku ikapita holaa.
Nikapiga simu siku ya pili asubui, akaniambia pesa iko pending na Kama huduma haitapatikana ndani ya masaa 24, basi pesa itarudishwa kwenye account. Masaaa husika yakapita hola.
Nikapiga simu baada ya masaa 24, mhudumu akaniambia atatuma taarifa makao makuu kwa ajili ya kurudisha muamala. Akaniambia nisubiri masaa 6-12. Mpaka Sasa hola. Nimepiga tena simu saizi wananiambia inatakiwa nisubiri masaa 72. NIMECHOKA.
HALOTEL wameshanitapeli. Nafikiria kwenda kuwashtaki. Jaman msaada wenu wa pakuanzia. Je, niende kwanza polisi ama? Kuna namna nyingine ya kufungua kesi dhidi ya makampuni ya simu?
Naomba kuwasilisha.
Tarehe 15 nililipia king'amuzi kupitia mtandao wa Halotel. Cha ajabu sikurudishiwa ujumbe na pesa kwenye account imeondolewa.
Nikapiga simu huduma kwa wateja. Wa kwanza akaniambia system iko chini kwa hiyo itakuwa accessed baada ya muda wa dk 20 mpaka 30. Siku ikapita holaa.
Nikapiga simu siku ya pili asubui, akaniambia pesa iko pending na Kama huduma haitapatikana ndani ya masaa 24, basi pesa itarudishwa kwenye account. Masaaa husika yakapita hola.
Nikapiga simu baada ya masaa 24, mhudumu akaniambia atatuma taarifa makao makuu kwa ajili ya kurudisha muamala. Akaniambia nisubiri masaa 6-12. Mpaka Sasa hola. Nimepiga tena simu saizi wananiambia inatakiwa nisubiri masaa 72. NIMECHOKA.
HALOTEL wameshanitapeli. Nafikiria kwenda kuwashtaki. Jaman msaada wenu wa pakuanzia. Je, niende kwanza polisi ama? Kuna namna nyingine ya kufungua kesi dhidi ya makampuni ya simu?
Naomba kuwasilisha.