Mtandao wa Tigopesa/Yas/Mixxpesa jana umetutia hasara kubwa

Mtandao wa Tigopesa/Yas/Mixxpesa jana umetutia hasara kubwa

SIPIYU30

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
1,751
Reaction score
2,437
Siku ya jana nilitoa fedha kwa wakala. Hapa nilipo huwa kuna mwendo kiasi hadi kufikia alipo wakala.

Sasa nina wakala ambaye huwa natoa fedha alafu namwagiza boda ananiletea mpunga wangu home nampa buku. Sasa jana nikafanya hivyo, kwanza mtandao ukawa haupo.

Nikamcheki jamaa baada ya muda akasema sasa hivi umekaa sawa unaweza kutoa. nikatoa kweli ikakubali. Ila haikuleta msg kwangu wala kwa wakala. Nikawa naangalia salio hela zimeenda. na nilikuwa na dharura nayo, ikabidi nifanye maarifa mengine kupata hela zingine.

Maana jamaa wakala ili anipe hela ilibidi walau nimwonyeshe msg iliyorudi kwangu. Ninavyoongea hadi muda huu wakala hajapata msg na mimi sijapata msg. Huu ni uhuni sana na kwa sasa nahama rasmi na mtandao wa tigo/Yas
 
mkuu me npo voda ila amin nakwambia jna nimeshindwa kumtumia mama j wang pesa ya matumiz mana wakal kanambia net changamoto. inawezekana ilikuw n changamoto kwny mitandao yt hy
 
Siku ya jana nilitoa fedha kwa wakala. Hapa nilipo huwa kuna mwendo kiasi hadi kufikia alipo wakala.

Sasa nina wakala ambaye huwa natoa fedha alafu namwagiza boda ananiletea mpunga wangu home nampa buku. Sasa jana nikafanya hivyo, kwanza mtandao ukawa haupo.

Nikamcheki jamaa baada ya muda akasema sasa hivi umekaa sawa unaweza kutoa. nikatoa kweli ikakubali. Ila haikuleta msg kwangu wala kwa wakala. Nikawa naangalia salio hela zimeenda. na nilikuwa na dharura nayo, ikabidi nifanye maarifa mengine kupata hela zingine.

Maana jamaa wakala ili anipe hela ilibidi walau nimwonyeshe msg iliyorudi kwangu. Ninavyoongea hadi muda huu wakala hajapata msg na mimi sijapata msg. Huu ni uhuni sana na kwa sasa nahama rasmi na mtandao wa tigo/Yas
Pole mkuu nimekutwa na kadhia kama yako
 
Siku ya jana nilitoa fedha kwa wakala. Hapa nilipo huwa kuna mwendo kiasi hadi kufikia alipo wakala.

Sasa nina wakala ambaye huwa natoa fedha alafu namwagiza boda ananiletea mpunga wangu home nampa buku. Sasa jana nikafanya hivyo, kwanza mtandao ukawa haupo.

Nikamcheki jamaa baada ya muda akasema sasa hivi umekaa sawa unaweza kutoa. nikatoa kweli ikakubali. Ila haikuleta msg kwangu wala kwa wakala. Nikawa naangalia salio hela zimeenda. na nilikuwa na dharura nayo, ikabidi nifanye maarifa mengine kupata hela zingine.

Maana jamaa wakala ili anipe hela ilibidi walau nimwonyeshe msg iliyorudi kwangu. Ninavyoongea hadi muda huu wakala hajapata msg na mimi sijapata msg. Huu ni uhuni sana na kwa sasa nahama rasmi na mtandao wa tigo/Yas
Jion walirudisha miamala maana hata mm ulikwama ila jion ya saa 12 ulirudi kwenye simu.
 
Kuna siku saa tatu usiku umeme umebaki 0.4, nikanunua na tigopesa, sikupata token mpaka kesho yake saa5. Nililala giza, nilikoma, sasa nachesa tu na M-pesa.
Mpesa wahuni nao toka juzi nimenunua umeme hela walichukua token hazijarudi na kuwapata Voda huduma kwa wateja ni kama kumpata mganga wa kweli Dar es salaam. Nimeamua ku assume kama nimedondosha hio hela tu wala sina haja ya kuhangaika. Sasa imeniandikia kwenye App ya Mpesa "Unavailable" sijui ndio mfumo gani.

Niliamua kununua kwa Tigopesa ikakubali.
 
Screenshot_20241129-174344.jpg
 
Pole mteja. Tumekupatia GB 1 na dk 10 za kukupooza Dk 24.
Yas to Yas. Usichonge sana, Huu sio mtandao wa malaika.
Pumbafu senu. Le0 ni siku ya 3 sijapata hela yangu, na hizo mb nachat na nani wakati hakuna mtandao, ujinga ujinga tuu ngojei nikimalizana na hii hela yangu nachoma line
 
Jion walirudisha miamala maana hata mm ulikwama ila jion ya saa 12 ulirudi kwenye simu.
mimi bado mkuu hata leo nimeangalia salio hamna kitu. mbaya ile namba 100 ukipiga haitoki namba bize, nimepita town ofcn kwa tigo pale nikakuta watu nyomi,nikaulizia nikaambiwa hawana hata namna ya kuangalia maana mtandao uko down
 
Back
Top Bottom