Mtandao wa TMZ Wadai: Kiongozi wa Taifa la Korea Kaskazini Kim Jong Un Amefariki Dunia

Status
Not open for further replies.

Kimatu

JF-Expert Member
Joined
Dec 17, 2017
Posts
286
Reaction score
271
Mtandao wa TMZ wa nchini Marekani umeripoti kwamba kiongozi dikteta wa Korea Kaskazini Kim Jong Un amefariki dunia au yuko kwenye hali mbaya ambayo ni ngumu sana kupona baada ya operesheni yake ya moyo kutofanyika vizuri.

Wiki hii China ilituma timu yake ya wataalam wa afya kwenda kusaidia katika kuokoa maisha ya kiongozi huyo, mpwa wa waziri wa mambo ya nje wa China aliandika katika mtandao wake wa Weibo wenye wafuasi takribani million 15 taarifa za dikteta huyo kupoteza maisha.

Ripoti zinaonesha kwamba mnamo mwanzoni mwa mwezi huu wa April wakati Raisi huyo akifanya ziara yake nje ya mji ilitokea akawa amejishika kifua na kuanguka huku wasijue sababu ni nini, Alitakiwa kupewa huduma ya haraka sana lakini ripoti zinaonesha kwamba alicheleweshwa au docta aliyekuwa anamfanyia operesheni alikua na woga....kupelekea hali yake kuzorota zaidi

 
"Mbele ya kifo hautambi" alisikika dokta Remmy akiimba
 
Hapa ni suala la muda mbivu na mbichi zinawekwa bayana kama kweli amehama sayari hii au bado tuko nae.
 
After reading the article—it is hard to get a definitive bead on the situation. Largely because China likes to lie, and NK has every reason to lie. I'm something more definitive will show up in the weeks to come. I'd be more concerned about the 'unknown' than the 'known'.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…