Unless wamezuia zisiende zitaenda tu kwenye namba zoteHivi huu upuuzi wanatuma na kwenye number mfano labda ya RAIS AU PM!!!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unless wamezuia zisiende zitaenda tu kwenye namba zoteHivi huu upuuzi wanatuma na kwenye number mfano labda ya RAIS AU PM!!!?
Mimi nilisha wahandikai kwamba sms zao lkn hakuna kituKila muda meseji za ovyo ovyo, Mara Yas majift,mara upuuzi wa marathon,mara sijui ujinga gani, ujinga ujinga tu muda wote!
MIX BY YASINTA hawa watu mafala sana wana uzoba flani hiviMixxxxxxxx by yas
Dada YASINTA inatuma sana meseji kwa watu asee bora uwafundishe tuJaribu njia hii...
1.Bofya *147*00#
2.Chagua Namba 11((Language/Jihudumie)
3.Kisha chagua Namba 3(Dhibiti SMS/toa taarifa)
4.Chagua 1(Mapendeleo ya Sms)
5.Chagua 1(Zuia SMS),Alafu chagua 2 (Yas SmS)
Hapo utakuwa umemaliza
Kweli!?Jaribu njia hii...
1.Bofya *147*00#
2.Chagua Namba 11((Language/Jihudumie)
3.Kisha chagua Namba 3(Dhibiti SMS/toa taarifa)
4.Chagua 1(Mapendeleo ya Sms)
5.Chagua 1(Zuia SMS),Alafu chagua 2 (Yas SmS)
Hapo utakuwa umemaliza
Kwenye Tigo nilifanya sms za usumbufu sio nyiingi kihivo ,na Leo nimefanya kwa Yas nategemea mambo yatakuwa Yale yaleKweli!?
aisee ni keroo,mara sijui Ramadhani nini!! Mara that or this or those! mtandao unasababisha kumaliza chaji za simu zetu kwa meseji za hovyo na kero,mbona Voda hawana meseji za kipuuzi kila mara japo wenyewe wana kasoro zao pia.