Lord Diplock MR
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,393
- 3,237
Millard ayo nae afuate
Sahiv nalea wajukuu,Na wewe zamu yako lini[emoji16]
UpgradeKatika hali ambayo haikutarajiwa na wengi mtangazaji mashuhuri nchini Hamis Mandi aka Bdozen ambaye kwa sasa anatangazia kituo cha redio cha E-FM amemvisha pete mpenzi wake wa siku nyingi aitwaye Faudhia.
Hii ni baada ya kuweka mahusiano yao private kwa miaka mingi sana.
Tusipangiane maishaMillard ayo nae afuate
Zina nini ?Ila hizi pete za siku hizi mmh
Naona nyingi zikishaingia vidoleni zinapata hadi kutu, wadada wa3 nawafahamu mwaka wa sita huuZina nini ?
Mbona hiyo kawaida tu, wengi mitaani wanaishi kitu kinachoitwa na Kanisa katoliki uchumba sugu.Naona nyingi zikishaingia vidoleni zinapata hadi kutu, wadada wa3 nawafahamu mwaka wa sita huu
Sijui kwanini
Wataolewa tu wawe na ImaniNaona nyingi zikishaingia vidoleni zinapata hadi kutu, wadada wa3 nawafahamu mwaka wa sita huu
Sijui kwanini
Wako disappointed na frustrated aseeWataolewa tu wawe na Imani
Wewe Pete bado shost?Naona nyingi zikishaingia vidoleni zinapata hadi kutu, wadada wa3 nawafahamu mwaka wa sita huu
Sijui kwanini
Aliuza mali ganiNyongeza pia nadhani laana inamsumbua kwa kuuza mali ya mama yake.
Na mimi almanusura iote kutu, nikambutua miteke jamaa akanyoosha mwenyewe goti church , sitakagi ujinga mimiWewe Pete bado shost?
Halafu shida nyingine ni kwamba unakuta mdada analilia Pete tu kila wakati ni kulia lia huku mwanaume hajajipanga kumuweka ndani basi wanaamua kuwavalisha halafu mwanaume anapita hiviNaona nyingi zikishaingia vidoleni zinapata hadi kutu, wadada wa3 nawafahamu mwaka wa sita huu
Sijui kwanini
Aliuza mali gani ya mamaake?Nyongeza pia nadhani laana inamsumbua kwa kuuza mali ya mama yake.