Lord Diplock MR
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,393
- 3,237
Katika hali ambayo haikutarajiwa na wengi mtangazaji mashuhuri nchini Hamis Mandi aka Bdozen ambaye kwa sasa anatangazia kituo cha redio cha E-FM amemvisha pete mpenzi wake wa siku nyingi aitwaye Faudhia.
Hii ni baada ya kuweka mahusiano yao private kwa miaka mingi sana.
Hii ni baada ya kuweka mahusiano yao private kwa miaka mingi sana.