Miss Madeko
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 4,364
- 5,609
Naona nyingi zikishaingia vidoleni zinapata hadi kutu, wadada wa3 nawafahamu mwaka wa sita huu
Sijui kwanini
HIZO NAFIKIRI NI STORY TU KWASABABU DOZEN TAYARI ANA MTOTO MKUBWA TU.Huyu Perfecttz nasikia analiwa kiboga
Ayo ni msiri sana.nilikua nakutana nae na dem wake mjamzito clinic moja hiv siitaj jina msasani...Millard ayo nae afuate
Endelea kusikia jombaaHuyu Dozen si nasikia ni MCHICHA PORI??
Vilevile tunapenda kujua taarifa za watu za maisha yao ya faragha.HIZO NAFIKIRI NI STORY TU KWASABABU DOZEN TAYARI ANA MTOTO MKUBWA TU.
ILA MTU AKIJIPENDA AKIWA MSAFI MSAFI TU TAYARI WABONGO LAZIMA WAMCHAFUE.
Na bado ma happy birthday ya kufa mtu anamfanyia kila mwaka, ila yule kaka ana roho ngumu[emoji848]Ha ha ha ndio raha yao mbona
Muulizeni Makonda alivimbisha kichwa kwenye ya Majizzo na Lulu yako wapi? Lulu kabaki kubanduliwa tuu
Kabisa yaaanRaha ya pete ya uchumba uvalishwe siku ya kutolewa mahari na tarehe ya ndoa ishapangwa , ila hizi pete za vichochoroni za uongo uongo sana
Kwa hiyo kila mtu anaishi kwake au wapo wote kupika na kupakuaNa bado ma happy birthday ya kufa mtu anamfanyia kila mwaka, ila yule kaka ana roho ngumu[emoji848]
Na wewe zamu yako lini[emoji16]
Avishe au avishwe?
Duuuh hatariiiSema mke na mke!
Pika pakua na utamu dailyKwa hiyo kila mtu anaishi kwake au wapo wote kupika na kupakua
Ndo mke tayari sasaPika pakua na utamu daily
Mkaka ana roho ngumu wakati Lulu hajabeba ujauzito. Huoni hofu iliyopo hapoNa bado ma happy birthday ya kufa mtu anamfanyia kila mwaka, ila yule kaka ana roho ngumu[emoji848]
Zama zimebadilika sana.. Gone are the days when parents could dictate who we marry!Pete za uchumba mnavalishana bila hata uwepo wa wazazi?
Imaging aisee ikija kufikia Lulu kwisha habari yake anaanza kuhangaika aisee Majizzo achia huyo mtoto wa kichaggaNa bado ma happy birthday ya kufa mtu anamfanyia kila mwaka, ila yule kaka ana roho ngumu[emoji848]