Mtangazaji B Dozen amvalisha pete mpenzi wake wa miaka mingi

Mtangazaji B Dozen amvalisha pete mpenzi wake wa miaka mingi

Ha ha ha ndio raha yao mbona
Muulizeni Makonda alivimbisha kichwa kwenye ya Majizzo na Lulu yako wapi? Lulu kabaki kubanduliwa tuu
Na bado ma happy birthday ya kufa mtu anamfanyia kila mwaka, ila yule kaka ana roho ngumu[emoji848]
 
Kaka c ana taarifa au kabariki maana mke wa mtu sumu afadhali dada e apumue jamani huyu mke bwana alizua mambo ndoa ya dada e ika yeyuka sasa sijui mchuchu bi mkubwa upande ule swalama?? atayawezaa nawaza mjini pamotrooo[emoji91]
 
Back
Top Bottom