Mtangazaji BBC, Salim Kikeke kadhalilishwa vibaya mtandaoni

Jf burudaani hasa pale watu wanapomdiskas mtu

Halafu baadhi yao wanadai kajidhalilisha kwa kudindisha wakati wao ndo wanajidhalilisha wenyewe kwa kumdiskasi mwanaume aliyedindisha kuwa kajidhalilisha.
 
Kudindisha hakugongagi hodi...hata usingizini kitu kinaweza kwenda mnara tu.

Kule kujibanza-banza kwa mdada kukaleta mawasiliano ya siri...na bahati yake alivaa kadeti, ingekuwa kitambaa kitu kingem-point mpiga picha kabisa.
 
vipi pale upo class boner inakutokea then ticha anakuita mbele usolve swali.....
 
Hyo picha umetengenezwa, wivu tu unawasumbua watu
 
Halafu baadhi yao wanadai kajidhalilisha kwa kudindisha wakati wao ndo wanajidhalilisha wenyewe kwa kumdiskasi mwanaume aliyedindisha kuwa kajidhalilisha.

Hapo sasa... sjui walitaka asidinde mbele ya mtoto wa dunia..
 
Tatizo ni nini kwani!!! Kama kuna tatizo apelekwe St John Hopkins hospital
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…