Ushauri kwako Salim kikeke, nafasi yako naamini bado kabisa hujaitambua katika jamii, kweli wewe ni mtangazaji maarufu na mahiri sana hongera kwa hilo, lakini account yako ya fcbk na mitandao mingine kama ni wewe unaepost vitu au mambo au habari basi jiangalie upya, habari zako nyingine au picha haviendani na nafasi yako wala hazina maadili kabisa,
nitakukumbusha japo kimoja, siku moja ulipost kwenye ukurasa wako wa fcbk umepiga picha ukiwa Congo mtaa fulani sitautaja jina kwa sababu jina la ule mtaa kwa lugha yetu ya kiswahili ni tusi, lakini kwa kujua kwako au kutokujua wewe ulipost kwenye ukurasa wako wa fcbk sijui ulikuwa una maana gani, na mengine umekuwa sana unacopy habari za kwenye viblog vya mitaani hata habari zisizo na uhakika unaweka kwenye page yako, jirekebishe leo naishia hapa,