inauma sana mkuu nimeona post yake FB salim kikeke amelaani sana hicho kitendo cha kuthalilishaKill;
Kama imetengenezwa basi hayo ni yake na mbaya wake ila zipo nyingi anaonekana kujibalagaza na hayo makitu. Ukizoea mwisho wake ndo huo. Kubandikwa magazetini, si waona ni sifa???
Huenda wanamtaka mkewe
inauma sana mkuu nimeona post yake FB salim kikeke amelaani sana hicho kitendo cha kuthalilisha
ni njama za wahuni wachache tuu kumuharibia jinaKill;
Simchukii Kikeke ila najua kitu moya tu, hata mbwa mwizi hulia saana anapokamatiwa kwa kona. Kilio chake hisikika mtaa wa pili.
Ajiulize kwa nini wamtaje huko kwenye huo uchafuuuu
dada umetoka lini mirembe kwanza nakushangaa sana
Kiwake wapi bana sema mke wake nae anatafuta atoke vipi manake wengi hatumjui hiyo kazi anayofanya mumewe anaweza piga picha na mtu awaye yote manake yupo kazini kama vipi amfumngie mgongoni mumewe atembee nae tujue anajuwa kupenda wizi mtupu.
Ni kweli huyu jamaa ana kiherehere sana sana
uwislamu unakataza kumkumbatia mwanamke???
Kill;
Tena sana na haswa ukimkumbatia halafu ukadindisha kama alivyo fanya kwenye hiyo picha
Ushauri kwako Salim kikeke, nafasi yako naamini bado kabisa hujaitambua katika jamii, kweli wewe ni mtangazaji maarufu na mahiri sana hongera kwa hilo, lakini account yako ya fcbk na mitandao mingine kama ni wewe unaepost vitu au mambo au habari basi jiangalie upya, habari zako nyingine au picha haviendani na nafasi yako wala hazina maadili kabisa,
nitakukumbusha japo kimoja, siku moja ulipost kwenye ukurasa wako wa fcbk umepiga picha ukiwa Congo mtaa fulani sitautaja jina kwa sababu jina la ule mtaa kwa lugha yetu ya kiswahili ni tusi, lakini kwa kujua kwako au kutokujua wewe ulipost kwenye ukurasa wako wa fcbk sijui ulikuwa una maana gani, na mengine umekuwa sana unacopy habari za kwenye viblog vya mitaani hata habari zisizo na uhakika unaweka kwenye page yako, jirekebishe leo naishia hapa,
asante mdau kama ulikua akilini kwangu,nimeanza msikia huyu mbaba tangu niko mdogo na nilikua napenda msikiliza,lakini sasa na hizi facebook zake ananifanya nisimchukulie kama awali.halafu bado nashangaa mtu mzima kutumia hivi vitu vya kitoto.ningekua mimi mke wake picha kama ile nisingemruhusu aweke kwenye mi social midea.ulimbukeni tuuu.na bado utadhalilika sana.
:disapointed:
Ye mwenyewe huwa anapenda kupost picha Fb utadhani bado mdogo sijui bora hata kaka'ngu wa kufikia Le Mutuz acha wamkomeshe
Salim bila make-ups ni balaa.
Salim bila make-ups ni balaa.
Kwa hiyo kama ingekuwa ni dada yake, then Kiislamu ingekuwa sawa?
Alishakuambia kuwa yeye ni Muislamu safi?
How do you define muislamu safi anayway?
Kitu kidogo tuu tayari mnaingiza udini.
Hivi mkoje nyie Watanzania?