ze KASKAZ smoke
Member
- Dec 6, 2014
- 28
- 5
Hiyo picha itampa umaarufu sana Kikeke huko mamtoni.......na kuitangaza TZ.....usishangae Miss World akaja kuzuru TZ na event ya next year ikaja Bongo....hii picha itatatangaza sana utalii TZ....
View attachment 211828
Huyu ndo Salim Kikeke
Wewe ni mpuuzi sana, unamjuwa Salim Kikeke wewe? Labda tu nikuingize shule Kikeke ndio Mtanzania wa kwanza verified user wa Facebook kama sikosei na mimi niko naye Facebook hajawahi hata siku moja kupost upumbavu kama huu wa kwako.
Wanaopenda kumuelewa Kikeke walike wall yake hii halafu pimeni mimi na huyu member nani mkwekali na nani fekelo.
Acha matusi bwana mdogo, au na wewe umeshaanza kupakatwa kama wenzio? Leta ushahidi acha kupaparika kama umekatwa kichwa!tena wewe utakuwa muhusika ni kwa sababu wewe hujulikani ndo maana unaandika upumbavu humu
mbona siwaelewi wakuuAcha matusi bwana mdogo, au na wewe umeshaanza kupakatwa kama wenzio? Leta ushahidi acha kupaparika kama umekatwa kichwa!
Mwanaume pesa Kenge wewe, Wasira ana sura gani? Wewe unaweza kugombea demu na Wasira wakati mwenzako ana mipesa kibao unadhani warembo wanahitaji mwanaume mrembo?
mbona povu limekutoka sana tulia dawa ikuingie vizuri acha mapepeAcha matusi bwana mdogo, au na wewe umeshaanza kupakatwa kama wenzio? Leta ushahidi acha kupaparika kama umekatwa kichwa!
acha kupotosha hii picha imetengenezwa na wahuni wachacheAcha mahaba wewe kikeke kapost hiyo picha mwenyewe hata mi nilishangaa kuiona lkn nikaipotezea. Mshkaji alichemka sana. Kama unampenda sana mwambie aache huo ujana uliopitiliza na abaki kutupa updates za EPL kwenye wall yake
hata wewe si mtoto badoHuko fb wengi ni vitoto, mie mtu mzima naona iko sawa tu;
Nadindisha sehemu maalumu na kwa tukio maalumu.....
Badala ya watanzania ungeandika Waislam....
ni njama za wahuni wachache tuu kumuharibia jina
kumharibia jina salim kikeke mkuu watu wana wivu sanaKill;
Kwa ajili ya nini???
Futa kauli yako watanzania hatuna udini ukabila na udini unaendeshwa na ccmWatanzania wengi ni wadini.
It doesn't matter whether or not ni Waislam.
Futa kauli yako watanzania hatuna udini
ukabila na udini unaendeshwa na ccm
Mwanaume pesa Kenge wewe, Wasira ana sura gani? Wewe unaweza kugombea demu na Wasira wakati mwenzako ana mipesa kibao unadhani warembo wanahitaji mwanaume mrembo?