Mtangazaji BBC, Salim Kikeke kadhalilishwa vibaya mtandaoni

Mtangazaji BBC, Salim Kikeke kadhalilishwa vibaya mtandaoni

Hairuhusiwi kwa yule ambaye si mke wako. hata kama unapeana mkono hakikisha kiganja chake kimefunikwa kwa nguo/kanga au gloves.

Ni wachache sana huwa wanafanya hivyo.

Mie nilikuwa sijui hayo, mpaka siku moja Mpakistani mwanamke (classmate na rafiki yangu) akiwa na mume wake Mpakistani aliyekuja kutoka Pakistani kumtembelea chuoni.

Nikamsalimia mume wake kwa kumshika mkono; wakati nataka pia kumshika mkewe mkono, mumewe akagoma.

Lakini mkewe akiwa mwenyewe nilikuwa namshika mkono let alone kugongeana mikono sana tuu wakati tunacheka.

Na wakati tunagongeana mikono yake ilikuwa haijafunikwa kwa nguo/kanga au gloves.
 
Mleta mada naomba sijambulishe jinsia yako! Na kama ni me je yako average ya ngapi?


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Hivi kuna watu wanaamin kwamba salim alidindisha kwa kupiga tu hiyo picha? Mbona mi naona surual tu hiyo tena surual za jinsi zna kawaida hiyo ya kutuna hapo kwenye zipu!
 
Jf burudaani hasa pale watu wanapomdiskas mtu
 
Nae aache kiherehere. Kama kweli ni muislam safi asingekumbatia binti huyo. si maadili ya kiislam. Huyo si dada yake. amejidhalilisha mwenyewe na kibaya zaidi familia yake pia.

Mbona sioni cha ajabu hapo sijaona alipomkumbatia huyo bint na hata kama alimkumbatia nan alikuambia its against uislam achen kuropoka au sababu ni salim?
 
Mwanaume kamili lazima kitu kikubali.Kwani kakumbatiana na mwanaume mwenzake?Hapo ni hasi na chanya zimeungana lazima reaction itokee.Inawezekana hata huyo miss ka..si..ma..mi..a.Ila uache umbea wa kutafsiri vitu bila ushahidi.Ondoa duara watu wajaji wenyewe.Salim yupo na imani atatoa jibu tu,km sio humu hata kule kwenye fb.
 
Mwacheni kudinda sio jambo la hiari, lingekuwa la hiari kusingekuwa na uhanithi
 
Kudindisha sio tukio la kawaida....

Bali kutodindisha ndo tukio la kawaida siyo?

panapotokea udindo ni kiashiria cha mwanzo wa kubanduana..... au mwana CHAPUTA anataka kupunguza uzito.....

No necessarily true. Wanaume wengi wanaamka asubuhi wakiwa wamedindisha

Unless uniambie usiku mzima hawakulala bali walikuwa wanawaza kugegeda.

Halafu kujidhalilisha na kujifadhaisha ni kitu kimoja?

Unless Kiswahili kimenipitia kushoto, mwanaume kudindhisha hadharani inaweza kuwa ni kujifadhaisha lakini siyo kujidhalilisha.

It is natural kwa mwanaume rijali kudindisha.
 
Si picha bali maneno ya wachangiaji!

Hayo maneno ya wachangiaji yanamfanyaje ajisikie kudhalilishwa?

Kama alikuwa amepiga picha na mwanaume mwingine halafu akadindisha hapo labda kwa wale ant-ushoga wangekuwa na neno.

Lakini kapiga na mwanamke, tena siyo mwanamke wa kawaida tuu, bali Miss World ambaye sidhani kama amedanganya umri kama yule wa kwetu.

Wanaume wengi walishawahi kudindisha hadharani, at least once, sema hawakunaswa na camera.

Erection is normal kwa mwanaume rijali and they can't help it or ignore it.
 
Mwacheni kudinda sio jambo la hiari, lingekuwa la hiari kusingekuwa na uhanithi

Kwanza, sioni kwa nini mwanaume aji-feel embarrassed kwa kudindisha kwenye picha aliyopiga na mwanamke.

Maybe, anaweza akaji-feel embarrassed kama huyo mwanamke ni mama, bibi au dada yake, lakini siyo kwa mwanamke ambaye hana hata uhusiano nae.

In fact, for some women, it is hot when a man have an erection in public.
 
Bali kutodindisha ndo tukio la kawaida siyo?



No necessarily true. Wanaume wengi wanaamka asubuhi wakiwa wamedindisha

Unless uniambie usiku mzima hawakulala bali walikuwa wanawaza kugegeda.

Halafu kujidhalilisha na kujifadhaisha ni kitu kimoja?

Unless Kiswahili kimenipitia kushoto, mwanaume kudindhisha hadharani inaweza kuwa ni kujifadhaisha lakini siyo kujidhalilisha.

It is natural kwa mwanaume rijali kudindisha.

Asante kwa details mzee wa kudindisha....
 
I see, mbona unatumia nguvu sana kutetea hii picha? Tupe ushahidi wa kwamba imetengenezwa na ulete hapa picha halisi ili tufananishe, using'ang'anie tu imetengenezwa!

Mkuu wananikera sn watu wanaojifanya wataalam wa picha.tangu wamejua huwa kuna picha za kutengeneza basi kila picha utasikia sio ya kweli hiyo.
 
Kwanza, siono kwa nini mwanaume aji-feel embarrassed kwa kudindisha kwenye picha aliyopiga na mwanamke.

Maybe, anaweza akaji-feel embarrassed kama huyo mwanamke ni mama, bibi au dada yake, lakini siyo kwa mwanamke ambaye hana hata uhusiano nae.

In fact, for some women, it is hot when a man have an erection in public.

Hiyo picha itampa umaarufu sana Kikeke huko mamtoni.......na kuitangaza TZ.....usishangae Miss World akaja kuzuru TZ na event ya next year ikaja Bongo....hii picha itatatangaza sana utalii TZ....
 
Kadhalilishwa na mrusha picha...au jamaa aliyepo kwwnye suruali kamdhalilisha???

Wenzie mambo yakiharibika wanachomolea mashati
 
Back
Top Bottom