Mtangazaji Farhia Middle wa Radio One: Wanawake ambao hawapendi kuwa na Mahusiano ( date ) na Wazee hawana Akili kabisa

Mtangazaji Farhia Middle wa Radio One: Wanawake ambao hawapendi kuwa na Mahusiano ( date ) na Wazee hawana Akili kabisa

Mtangazaji Farhia Middle wa Radio One, kuteuliwa kuwa mkuu wa wilaya soon. Take my note​

Wenye Akili na Maono kwa jinsi anavyohangaika na Kujitahidi Kujipendekeza kwa Rais Samia kwa 'Kumpostiposti' kila mara katika Instagram Account yake huku akimpamba na Kumsifu tulishajua nini anakitafuta huko Serikalini.

Na wengine mpaka Mkubwa Mmoja anayemhangaikia kumfanyia 'lobbying' kwa Mama na Watu wa Jumba jeupe la Magogoni na kule Chamwino tunamjua.
 
Sasa mbona kada yao wengi huwa ni form four failures au six failures?!

Au ndio ilimradi ajue kusoma na kuandika tu ?!

Nchi hii maendeleo yatakuja Kwa namna gani ?
 
Akizungumza katika Kipindi Kizuri, Kitamu na Kinachoelimisha, Kuburudisha na Kufariji cha Mazungumzo ya Familia ( kutoka Radio One ) ambacho GENTAMYCINE ni Balozi wa Kujilazimisha na Kujiteua Mwenyewe wa Kipindi hicho Mtangazaji Mwandamizi, Mrembo kupita Wanawake Watangazaji wote wa Television nchini Tanzania Farhia Middle ametupa Dongo la aina yake kwa Wanawake wote kuwa kama hawapendi kuwa na Mahusiano ( Date ) Wazee na Kuachana na Vijana basi wajijue kuwa hawana Ubongo ( yaani hawana Akili ) kabisa.

Aliyasema haya muda wa Saa 2 na dakika 20 leo Asubuhi ya tarehe 20 Machi, 2022 akiwa anamjibu Mtangazaji Pacha wake Abubakary Sadick pamoja na Mtangazaji Mgeni Mwalikwa Julieth Robert huku Mgeni mwingine Rubein nae akiwa anachomekea zake hapa na pale.

Farhia Middle kaupiga mwingi mno tu.
Yeye Farhia mzee wake aliye na mahusiano naye ana miaka mingapi, tuanzie hapo kwanza.
 
Wenye Akili na Maono kwa jinsi anavyohangaika na Kujitahidi Kujipendekeza kwa Rais Samia kwa 'Kumpostiposti' kila mara katika Instagram Account yake huku akimpamba na Kumsifu tulishajua nini anakitafuta huko Serikalini.

Na wengine mpaka Mkubwa Mmoja anayemhangaikia kumfanyia 'lobbying' kwa Mama na Watu wa Jumba jeupe la Magogoni na kule Chamwino tunamjua.
We taarifa umezipata wapi au ww ndio unamuhangaikia huko Serikali, Duh
 
Back
Top Bottom