GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
- #21
She's typical a Maasai Ethnically.Na hivi Farhia si ni mrangi eti?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
She's typical a Maasai Ethnically.Na hivi Farhia si ni mrangi eti?
Yupo kama tufe
Mzee IGP Sirro siku hizi kapotea sana.Anawapigia promo wazee baada ya kuchanwachanwa marinda na machalii
Sawa farhiyaTuache kuwatukana watu ambao hawahusiki kabisa katika mada hii. Farhia wala hakuleta hili jambo hapa.
Eti jaman....bora kuzeeka woteWazee swaga zao sometimes hapana aisee!
Labda mume mmzeeka wote Pamoja lakini wewe uwe kijana halafu jamaa mzee?!
Mmnh!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 unachuki binafsiYupo kama tufe
Kafanyaje SirroMzee IGP Sirro siku hizi kapotea sana.
Anapenda kupelekewa moto na wazeee....
Wenye Akili na Maono kwa jinsi anavyohangaika na Kujitahidi Kujipendekeza kwa Rais Samia kwa 'Kumpostiposti' kila mara katika Instagram Account yake huku akimpamba na Kumsifu tulishajua nini anakitafuta huko Serikalini.Mtangazaji Farhia Middle wa Radio One, kuteuliwa kuwa mkuu wa wilaya soon. Take my note
Kajiunga rasmi CHADEMA kuanzia hii leo.Kafanyaje Sirro
Yeye Farhia mzee wake aliye na mahusiano naye ana miaka mingapi, tuanzie hapo kwanza.Akizungumza katika Kipindi Kizuri, Kitamu na Kinachoelimisha, Kuburudisha na Kufariji cha Mazungumzo ya Familia ( kutoka Radio One ) ambacho GENTAMYCINE ni Balozi wa Kujilazimisha na Kujiteua Mwenyewe wa Kipindi hicho Mtangazaji Mwandamizi, Mrembo kupita Wanawake Watangazaji wote wa Television nchini Tanzania Farhia Middle ametupa Dongo la aina yake kwa Wanawake wote kuwa kama hawapendi kuwa na Mahusiano ( Date ) Wazee na Kuachana na Vijana basi wajijue kuwa hawana Ubongo ( yaani hawana Akili ) kabisa.
Aliyasema haya muda wa Saa 2 na dakika 20 leo Asubuhi ya tarehe 20 Machi, 2022 akiwa anamjibu Mtangazaji Pacha wake Abubakary Sadick pamoja na Mtangazaji Mgeni Mwalikwa Julieth Robert huku Mgeni mwingine Rubein nae akiwa anachomekea zake hapa na pale.
Farhia Middle kaupiga mwingi mno tu.
We taarifa umezipata wapi au ww ndio unamuhangaikia huko Serikali, DuhWenye Akili na Maono kwa jinsi anavyohangaika na Kujitahidi Kujipendekeza kwa Rais Samia kwa 'Kumpostiposti' kila mara katika Instagram Account yake huku akimpamba na Kumsifu tulishajua nini anakitafuta huko Serikalini.
Na wengine mpaka Mkubwa Mmoja anayemhangaikia kumfanyia 'lobbying' kwa Mama na Watu wa Jumba jeupe la Magogoni na kule Chamwino tunamjua.
Najua Jumapili utanikandia mno Kipindini Dada.We taarifa umezipata wapi au ww ndio unamuhangaikia huko Serikali, Duh