Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
We shall All Die
Not accurate!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We shall All Die
Hichi kipindi cha je huu ni uungwana kinatukumbusha mkongwe wa sauti ya Kenya, Leonard "Mambo" Mbotela. Alikifanya vizuri sana enzi za Mwalimu, kikidhaminiwa na paka power!Ooooh no
Namkumbuka kwa kipindi chake Cha"Jee huu Ni uungwana?"
Ahaaaaahaaaaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Dogo kuwa mkakamavu wewe ni mwanaume. Mwanaume hutakiwi kuhuzunishwa na vitu vidogo dogo visivyokuwa na mantiki kama kifo.
Sauh'waaa
Hivi alirushwa nje ya gari ?Kwa mujibu wa mashuhuda wanasema walikuwa mwendo wa kawaida ila kuna gari ilikuwa ina overtake kutokea mbele yao ktk harakati za kuikwepa kuepuka kugongana uso kwa uso wakaingia mtaroni na wote yeye na dereva wake walikuwa wamelewa na ndan ya gari kulipatikana chupa zingine za pombe zilizokuwa zinanywika na mashuhuda waliofika kuwaokoa wanasema marehemu alikaa siti ya nyuma na hakuwa amevaa mkanda. RIP...sisi sote ni wa mwenyezi mungu na kwake tutarejea[emoji120]
Nami nlitamani kufahamu hili.
Duh! Kumbe, huyu bibi ni mdau wetu sana kule fb, kwa uandishi wake anaonekana ana akili nyingi sana huyu dada.Apumzike kwa amani. Na amezaa na sister angu jamani. Bibi Happy joseph. Yuko china. Sijui ataweza kwenda zika kibosho?
Sanya juu huko Hai KilimanjaroKwao ni sehemu gani?
Just to know her as my sister mzee.Hakuna agenda mpyaKwahiyo kwa Lugha nyepesi na iliyonyooka hapa unataka Kusemaje labda Mkuu kwani naona ni kama vile unazunguka sana.
Sanya juu siyo Hai mkuu ni wilaya ya Siha.Sanya juu huko Hai Kilimanjaro
Na battery za evelred.umenikumbusha mbali sanaHichi kipindi cha je huu ni uungwana kinatukumbusha mkongwe wa sauti ya Kenya, Leonard "Mambo" Mbotela. Alikifanya vizuri sana enzi za Mwalimu, kikidhaminiwa na paka power!
Yes. Mdau sana kule japo nimejitoaga fb. Analisukuma sana gurudumuDuh! Kumbe, huyu bibi ni mdau wetu sana kule fb, kwa uandishi wake anaonekana ana akili nyingi sana huyu dada.