Kabla sijakuwa mdau wa Azam Two nilikuwa navutiwa na Jackline Silemu, Abdallah Mwaipaya na Sam Mahela, ila kwasasa nadiriki kusema nakoshwa sana habari ya Azam Two, wapo vizuri saaana.
Benjamini mzinga navutiwa na ile sura yake i wish nikutane nae in private hata tupige selfie tuu inatosha ..btw nahisi hajaoa bado(demu wake anafaidi[emoji1][emoji1])siyo kwa sauti ile daah