Mtangazaji gani wa TV anaye kuvutia hapa Tanzania?

Mtangazaji gani wa TV anaye kuvutia hapa Tanzania?

Sauda Mwilima bado yupo Star TV?

Sikumbuki mara ya mwisho kuangalia Star TV
 
Achana na demu wangu bro. Hapa nasubiri Ray akiteleza tu nampa mtoto life ya maana. Nafahamu ana watoto wawili ila wote nitawafanya wa kwangu. Nampenda sana huyu wife wangu mtarajiwa. Nyamwi popote ulipo siku ukijifanya umepa dwa hasira tuuu tusije laumiana. I love that Woman.
Aiseeh
 
Naruhusiwa kutaja wale wa Cjtizen Tv ya kenya? Maana hapa bongo
 
Back
Top Bottom